mpakanjiaaaaaaaa..,ila brother umetuuzia cd,mgunda na careca hawakuwahi kucheza na Tenga,wale ni wadogo sana hata kwa mkwasa
Mengine yanaweza kuwa tetesi, Tenga unajua kacheza mpira na kina nani (sisemi enzike akichezea Kandambili au PA),
Nimesema enzi za kina Tenga, unajua Hussein kazaliwa 1950's umewahi kumskia mchezaji huyu?
Ameshangaa kukuta kigamboni pana kivuko kikubwa na mv. Alina haipo tena, Mama Rwakatale kawa mbunge na anawalaani wanaotumia 'unga' na 'kuwalaani' wanaouingiza
Mengine yanaweza kuwa tetesi, Tenga unajua kacheza mpira na kina nani (sisemi enzike akichezea Kandambili au PA),
Nimesema enzi za kina Tenga, unajua Hussein kazaliwa 1950's umewahi kumskia mchezaji huyu?
Mashabiki wa soka la bongo watakuwa wanamkumbuka mchezaji huyu, alicheza na kina Mgunda, Razack Yusuph, kifupi enzi za kina Tenga.
Mwaka 1994 alikamatwa nchini Malawi kosa ikiwa ni kukutwa na madawa ya kulevya, kwa miaka 17 amekaa mahabusu na wiki jana kaachiwa, kadandia lori na kaingia DSM juzii.
Mzigo aliokamatwa nao ulikuwa wa mfanyabiashara maarufu (sasa marehemu) mke wa mfanyabiashara huyu aliwahi kuwa mwanasiasa.
Nimeiweka kama tetesi, mwenye kujua zaidi kuhusu nguli huyu wa soka anaweza kuchangia zaidi :juggle:
Kwanza nakutaka radhi nadiriki kukuita MUONGO ikiwezekana Mob ifuteni hii THREAD inachafua jina la mtu...kwanzA jina umekosea ni HUSSEIN RUGA MWAKURUZO na miaka mingi yuko UK na family ,mdogo wake ni ALLY RUGA MWAKURUZO yeye yuko NEDERLAND...na
HUSSEIN hakuwahi kucheza na TENGA.