dickchiller JF-Expert Member Joined Apr 30, 2012 Posts 1,847 Reaction score 3,149 May 10, 2017 #1 Habari zisizo rasmi inasemekana kua sportpesa watakua wadhamini wa klabu kongwe hapa nchini zinaenda mbali zaidi kua yanga wamepata mkataba mnono kuliko simba . Je yule aliesema tatizo ni umbumbumbu yuko sahihi
Habari zisizo rasmi inasemekana kua sportpesa watakua wadhamini wa klabu kongwe hapa nchini zinaenda mbali zaidi kua yanga wamepata mkataba mnono kuliko simba . Je yule aliesema tatizo ni umbumbumbu yuko sahihi
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 18,046 Reaction score 38,598 May 10, 2017 #2 tangazo la kampuni hiyo ya kubet japo limekuja kiaina
Mr_X JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 1,170 Reaction score 2,335 May 10, 2017 #3 Sportpesa wana pesa kwel
Ze General JF-Expert Member Joined May 10, 2014 Posts 1,508 Reaction score 1,253 May 10, 2017 #4 Kwahiyo baada ya yanga kupewa dili yenyewe simba akapeleka suara hilo fifa!!
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 May 10, 2017 #5 Simba/Mikia ni haki yao sababu wao ni wa Hapa Hapa.
Joblee JF-Expert Member Joined Sep 27, 2015 Posts 1,470 Reaction score 1,591 May 10, 2017 #6 Walikuwa na mazungumzo na Yanga kabla ya kuja sijui kama walishaafikiana
B Baba Kiki JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,544 Reaction score 943 May 11, 2017 #7 Yawezekana mahitaji ya Yanga yakawa makubwa zaidi ikiwa ni pamoja na kukomboa jengo. Na zote hizi ni tetesi tu
Yawezekana mahitaji ya Yanga yakawa makubwa zaidi ikiwa ni pamoja na kukomboa jengo. Na zote hizi ni tetesi tu