Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Ndugu yangu bado hujaifahamu nguvu (clout) ya CHADEMA ilivyokuwa nyuma ya “sauti ya zege”. Leo hii huko bungeni anafanyiwa madharau na kina Tulia kama mtoto aliyeokotwa mitaani. Anaongea point nzito lakini anazimwa na kukumbushwa kumshukuru mwendazake kwa kuwepo kwake bungeni.

Ajaribu kuvaa kijani halafu apite mitaa ya Kawe utauona huo mrejesho. Ataangaliwa kama msukule wa mtukufu Rashid. Itabidi dola itumike na kura za viroba ziletwe kumpa angalau uhai fake wa kisiasa.
 
Kiini cha uzi hiki apa!! Yani uzi ungekua hivi tu tayari umebeba maana ya hayo maneno yoote uliyoandika.

Nyuzi zako zina vitu ila maneno yasiyo na tija unaweka mengi mno yanachosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…