Tetesi: TETESI: KIGAMBONI KUWA MJI WA BANDARI NA VIWANDA?

Tetesi: TETESI: KIGAMBONI KUWA MJI WA BANDARI NA VIWANDA?

Mkwanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,293
Reaction score
5,163
Kuna tetesi nimezipata toka kwa Mdau mmoja akiniambia kwamba kuna mpango wa kuchukua km 10 toka ferry upande wa Kigamboni kwa ajili ya kupanua bandari ya Dar es Salaam ili kuwezesha ujenzi wa zone ya viwanda, yards za magari, bohari za mafuta, na sehemu ya shehena ya mizigo.

Kama tetesi hizi ni kweli basi ina maana mpango wa ujenzi wa mji mpya Kigamboni utakuwa umebadirika na kuwa Mji wa Bandari na Viwanda mfano wa ilivyotakiwa kuwa Bandari ya Bagamoyo. Je wazo lipi ni jema kati ya haya? Karibuni.
 
Kuna tetesi nimezipata toka kwa Mdau mmoja akiniambia kwamba kuna mpango wa kuchukua km 10 toka ferry upande wa Kigamboni kwa ajili ya kupanua bandari ya Dar es Salaam ili kuwezesha ujenzi wa zone ya viwanda, yards za magari, bohari za mafuta, na sehemu ya shehena ya mizigo.

Kama tetesi hizi ni kweli basi ina maana mpango wa ujenzi wa mji mpya Kigamboni utakuwa umebadirika na kuwa Mji wa Bandari na Viwanda mfano wa ilivyotakiwa kuwa Bandari ya Bagamoyo. Je wazo lipi ni jema kati ya haya? Karibuni.
Hizo ni tetesi acha zibaki km tetesi hivyohivyo
 
Hili lipo tangu enzi... Ila sizani kama Lita tekelezeka na hakuna hata dalili ya utekelezaji...
 
Mama Tibaijuka angekua msukuma tungesema mchawi. Alianza kutuletea uchuro watu wa Kibamba, tukaambiwa tusijenge Kibamba itakua zaidi ya Mwanza. Alipoona wachagga wamekomaa akahamishia majeshi Kigamboni. Kipindi ninyi mnatizama Kigamboni mama akawa anapiga madili ya nguvu. Dili ndogo kuliko zote ni ile aliyochukua hela ya mboka. 1.4 b au shilingi 1,400,000,000. (Tuhela twa mboga,) Nchi ina matusi hii sijawahi ona.1.4B hela ya mboga????? Ya nyama je????
 
Back
Top Bottom