Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hasa hawa waafrika wa tanzania..yeye anadhani supersport zinaendesha kiswahi swahili kama TBCMi nadhani waafrika ni wachawi
hahah WAZEEE WA..Hasa hawa waafrika wa tanzania..yeye anadhani supersport zinaendesha kiswahi swahili kama TBC
Hii thread mbovu kuwahi kutokea tangu jamii forums ifunguliweKuna tetesi zinasambaa kuwa mtangazaji maarufu kama kocha mchezaji anawabania wenzake wasitangaze mechi za kombe la dunia kwa kiswahili huko south afrika.
Ikumbukwe takribani watangazaji sita wa kitanzania walikula mkataba wa kutangaza kombe la dunia kwa kiswahili kutoka bondeni kwa madiba.
Lakini mara baada ya mechi za makundi kuisha, wanaotangaza mechi mara kwa mara ni kocha mchezaji na mzee wa kaliua huku mara chache sana akisika mzee wa jahazi.
Baadhi ya watangazaji na wachambuzi ambao wamepigwa benchi kiaina na hawasikiki kabisa ni pamoja na Mzee wa mwanaspoti, Mzee wa hisabati a.k.a kiungo mkongwe pamoja na mtangazaji mwingine nguli wa siku nyingi.
Kuna tetesi zinasambaa kuwa mtangazaji maarufu kama kocha mchezaji anawabania wenzake wasitangaze mechi za kombe la dunia kwa kiswahili huko south afrika.
Ikumbukwe takribani watangazaji sita wa kitanzania walikula mkataba wa kutangaza kombe la dunia kwa kiswahili kutoka bondeni kwa madiba.
Lakini mara baada ya mechi za makundi kuisha, wanaotangaza mechi mara kwa mara ni kocha mchezaji na mzee wa kaliua huku mara chache sana akisika mzee wa jahazi.
Baadhi ya watangazaji na wachambuzi ambao wamepigwa benchi kiaina na hawasikiki kabisa ni pamoja na Mzee wa mwanaspoti, Mzee wa hisabati a.k.a kiungo mkongwe pamoja na mtangazaji mwingine nguli wa siku nyingi.