Duuuu we ni mwanabodi?Bora yeye kajiwahi mapema,mwezie anatimliwa wiki ijayo j3!
Na goal lao La Karia kwa mtibwa
Bora Omog atimue haraka Jackson ndio muhimiliWadau kwema??
Kuna tetesi kua Kocha msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja amethibitisha kuachana na klabu hiyo leo, kuna mwenye any clue kuhusu hili?? Kama ni kweli nadhani ni bora hata angeondoka Omog kuliko huyu Mayanja
Wadau kwema??
Kuna tetesi kua Kocha msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja amethibitisha kuachana na klabu hiyo leo, kuna mwenye any clue kuhusu hili?? Kama ni kweli nadhani ni bora hata angeondoka Omog kuliko huyu Mayanja