Tetesi: Kocha wa Barcelona, Ernesto Valvede kutimuliwa. Gurdiola atajwa kurudi nyumbani!

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Hata kabla ligi haijaanza huko Catalunya. wanazengo hawamtaki kocha Ernesto Valvede. Yaani mashabiki wamechoka sasa na valvede.

Pia kwenye mitandao jana na juzi mashabiki wengi walipendekeza pep gurdiola arudi haraka Barca.

Hii inaonesha ni jinsi gani valvede alivyochokwa!.

Hii ni habari mbaya kwa mashabiki wa citizens..

Pancho boy
 
Huyu Ernesto nilimdharau na kumuona sio kocha wa calibre ya kuifundisha Barcelona tangu siku alipofungwa na Roma 3-0.
 
Pep hawezi kuondoka City kirahisi kabla ya msimu kuisha. Huu msimu unaweza kuwa msimu wa mafanikio makubwa kwake na yeye anatambua hilo.
 
Kocha asie na mbinu mbadala,mbaya zaidi hata kusajili hajui. Yupo yupo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…