BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Nakaa karibu na shule moja ya Bweni hapa.Wasichana hawa wanapenda sana kununua tunda la ndizi mbivu.ila kuna tetesi kua baadhi huzitumia kama swagz.Na pia mvulana mmoja alinisimulia kua shuleni kwao magodoro mengi pindi wafungapo yakipelekwa stoo yametobolewa katikati.Dah wadau hii chanzo nini??