Nimesikia hili kuwa kuna timu zinajiandaa kuandika barua ya Mgomo TFF dhidi ya mechi za Simba.
Inasemekana Simba dakika zinavyozidi kwenda ndo hupata nguvu. Inasemekana hasa kipindi cha pili huwa ni kigumu sana kwa team pinzani. Hivyo kuna timu zitagoma kucheza kipindi cha pili.ili ziwe zinacheza kipindi cha kwanza tu na mechi inaishia hapo.
Wataalam wanasema wachezaj wa Simba wana nguvu sana kutokana na mazoezi wanayopata na huwa dakika zinavyozidi kwenda ndo wanavyozidi kupata pumzi.