Tetesi: kwa wenyeji wa Arusha (club mpya)

americana

Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
84
Reaction score
37
jamani tujuzeni sisi wala bata.. Inasemekana kuna club moja matata inafunguliwa siku si nyingi maeneo ya usa river. Mwenye kujua atujuze wa mikoani maana hata kuna rafiki yangu wa Mwanza kaniambia kuhusu hiyo issue.
 
Yap yap hapo pembeni na leganga supermarket....karibu Arusha...n babkubw s mchezoo
 
Hamjaanza kutandikana risasi huko...hook up ya msando iko maeneo gani?

Ndugu yangu mbn unadharau huo mkoa wa Arusha, inamaana wao kazi yao ni.kutandikana risasi tu au ni kejeli za kijinga. Mm binafsi siishi Arusha ila kiukweli ni mji ambao kila nikienda najifurahia sana kwa hali ya hewa na maeneo tulivu ya kijanja ya kulia starehe kuliko mkoa wowote Tanzania hii.. acha mbwembwe wewe.
 
Hii club mpya ya hapo usa river binafsi niliwahi kuonyeshwa picha na jamaangu mmoja ambae moja wa madesigner ni ndugu yake, kiukweli ikikamilika lazima itazima kiu zetu. Wamejaribu kugusa kila aina na rika kutokana na picha na maelezo yake....nikipata baadhi ya picha nitawekea na dhumuni langu ni kutaka kujua inafunguliwa lini na itaitwaje kwa mwenye kujua
 

Yep ila haijajulikana itaitwaje. Ni ya jamaa mmoja hivi wa tanzanite anaitwa Pikinini ipo hapa Leganga Supermarket karibia kabisa na NMB Usa-River Branch.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…