Tetesi: Mpakanjia Is No More!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
- Kuna tetesi mpya na nzito sana kwamba yule mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar, aliyekuwa mume wa marehemu mbunge Amina Chifupa, amefariki dunia leo mjini Dar.

- Bado tunazifuatilia kwa karibu habari za tetesi, ili kuzithibitisha ukweli wake.

Respect.

Field Marshall Es, ni Wazee wa Sauti ya Umeme!
 
Asante kwa taarifa mkuu ila pitia utaona hii ishu wameiweka tayari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…