Ishu ya Mpendazoe na Makongoro kudakwa sio utata...
Ni kweli, hata Wapo Radio wameripoti asubuhi moja kwa moja toka Buguruni kuwa Makongoro alishashindwa, na alikuwa polisi akihojiwa kwa kukwapua mabox ya kura, (ambayo awali mtendaji alishasema 'yalipotea') na ukweli wamesema baadaye Mtendaji na polisi waliyaweka ktk tax ili yapelekwe tena Shule ya msingi Buguruni kwa majumuisho tena ila kwa Masharti ya kutomruhusu mtu yeyote kuingia ktk hiyo tax, mawakala wakagoma (wakijua kuwa ndani ya tax kulikuwa na kura zilizokwishapigwa walizotaka kujaza ndani ya mabox), ndipo walipogoma tax haikuenda. Hadi saa 2:00 asubuhi, mtangazaji wa Wapo alisema polisi haijakubali kutoa ufafanuzi wa Makongoro, hatua zilizochukuliwa na Mabox faki yamefanywaje...
Habari ndio hiyoo.....Ukombozi unakandamizwa na mafidhuli...