Tetesi: Nikweli inakondesha?

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Naomba nisiwachoshe.

Kumekuwa na habari, maneno au fununu kwamba Mwanaume mwenye uume mkubwa unaweza ukasababisha asinenepe(umamnyonya mwili).

Je hiikitu inaukweli?
Nihayo tu, nawakaribisha tujadili hili.
 
The longer the chain the further u go.The bigger the bank the small house. Wiz khalifa
 
Mazito hayo,haya wahusika na waje nna kiu yakuyajua...
 
ukisema unakondesha Napata picha kuwa huwa hiyo kitu inatokea ghafla wakati mtu ukiwa bonge tayari.

Ungeweka hivi, huwa inadumaza manake mu unakwanayo!!!:target:
 
Naomba nisiwachoshe.
Kumekuwa na habari, maneno au fununu kwamba Mwanaume mwenye uume mkubwa unaweza ukasababisha asinenepe(umamnyonya mwili).
Je hiikitu inaukweli?
Nihayo tu, nawakaribisha tujadili hili.

Vp wale wanaume wa porn!
 
Aliye tumia terminology ya "kudumaza" nadhani yupo very right nawafahamu jamaa wawili wamejariwa sana ila kiukweli wamedumaa sana.
 
Nothing to say........

mwambie tu ukweli huyu. siku za uwazi hizi. mwambie tu ni kweli vidume vyembamba vingi vinakuwa na nanilii kubwa sana. tena malizia akiteua box ana uhakika litamaliza njaa hakuna pa kukimbilia.... ukweli? uwongo!? ha ha ha ha....
 
mwambie tu ukweli huyu. siku za uwazi hizi. mwambie tu ni kweli vidume vyembamba vingi vinakuwa na nanilii kubwa sana. tena malizia akiteua box ana uhakika litamaliza njaa hakuna pa kukimbilia.... ukweli? uwongo!? ha ha ha ha....
makubwa
 
....kubwa inakuwa na ukubwa gani?
...Mbona mie bonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…