TETESI: Serikali yatishia gazeti la KULIKONI

hii serikali ingelikuwa inawapigania watz kama wanavyopigana na haya magazeti basi leo tusingelikuwa masikini.....wanataka kutuondosha kwenye point ya ufisadi tu basi
 

- Mkuu badili channel basi usiwe kikwazo kwenye habari muhimu kwa wananchi, hii habari ni ya muendelezo sasa unaizuia mkuu kuendelea, vipi ukisogea pembeni ukatuachia mabwege tuendelee kubugia sharubati, I mean genius anatafuta nini huku JF, badala ya kwenda kufundisha Havard?

- Kama habari ya Halisi ni ya uongo, basi tuonyeshe uongo ulipo mkuu halafu utuwekee ukweli zaidi ya uongo wa Halisi, enough na hizi logics hii topic sio mahali pake, hii habari ni one way street, either una ya ukweli zaidi ya hii habari au kaa ule dataz, ikibidi badilisha channel, acha kuzuia habari mkuu,

Mkulu Halisi lete dataz hapa, yaani sina sababu hata ya ku-question habari yako najua ni 100% true, yaani ukweli.

Respect.

FMEs!
 


Well, ni rahisi: Tetesi ni kitu cha kusikia juu juu ambacho hakiaminiki bado. Sasa kama source yako mwenyewe huiamini, kwa nini ulete habari kutoka kwa mdaku ambaye wewe mwenywe wouldn't bet a nickle on them?

Chanzo chako cha ndani mwenyewe unakiiita rumors, mimi recipient wa info huwezi nilaumu nikiwashuku nyote.
 

Do i know you!
 
tujadili mada na kama huna mbadala tuache wadanganyika, tumkome nyani.
 
JK amejenga maadui wa kutosha ndani ya chama chake mwenyewe, na sasa anajenga wengine nje ya chama waliomwamini kuwa ana nia ya dhati ya kupambana na ufisadi. Sijui atakapomaliza vipindi vyake vya uongozi ataficha wapi sura. Watu watamla nyama. Aamue sasa kuikamata nchi na kuongoza mwenyewe. Sio lazima kuwa dikteta au kuzima mijadala huru inayoendelea, bali he has to be on top of the things!
 

You know ndugu, he wish he could be! Apite wapi while Fisadi papa Rostamu Azizi is always on his neck?
 
huo ni mtazamo wako
lakini ukweli siku zote husimama.
ilisemwa ktk maandiko kuwa hata shetani ana mashahidi wake
 

Mh!! Ure tryin' 2chase the***?
 

Unajua maana ya "swalisha" weye?
 
Mbele yangu hapa nina kamusi ya Kiswahili toleo la kwanza 2001, ISBN 9976 911 44 0 iliyotolewa na TUKI (Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili - Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) na neno "swalisha" lina maana moja tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…