Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kama ndivyo basi Simba wangekataa udhamini au uwepo wa Tarimba una tatizo gani!!!???.... Mbona Bakhresa ni Simba lakini..... AuKiongozi wa Sportpesa anaitwa Abbas Tarimba , unategemea nini ?
Mimi nimekunong'oneza tu , mengine maliza wewe .Kama ndivyo basi Simba wangekataa udhamini au uwepo wa Tarimba una tatizo gani!!!???.... Mbona Bakhresa ni Simba lakini..... Au
Hiyo ndio bongo soka... Acha Serengeti watuliwaze....Mimi nimekunong'oneza tu , mengine maliza wewe .
Wacha ulongo wwKiongozi wa Sportpesa anaitwa Abbas Tarimba , unategemea nini ?
Vipi , bado ni uongo ?Wacha ulongo ww