Tetesi: TFF wajitoa uchaguzi Yanga, kuzungusha na waandishi siku ya jumanne!!!

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Kumekucha sasa.
Ni kwamba kuna tetesi kwamba TFF wameamua kuwaachia Yanga waendelee na mchakato wao wa uchaguzi na wataongea na waandishi wa habari siku ya juma nne.
 
Nh habari njema kwa sisi wanayanga na kwa maendeleo ya klabu yetu pendwa
 
Moderator nirekebishieni heading tafadhali.
Hapo kwenye kuzungusha=Kuzungumza
 
Yaani walitaka kuleta mtafaruku klabuni hivi hivi! Masaburi Yao TFF!
 
Walitaka kuleta Siasa kwny Mpira. Kwa kuwa Baba Udom hamtaki Manji basi nao wakatumia furs a hiyo kwa Maslahi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…