Tetesi udom watu wameanza kazi

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,217
kuna tetesi nimezipata kuwa Udom baadhi ya post wameanza kazi,inasemekana huo mchezo umeshtkiwa Baada ya Mtoto Mwenye hotel 56 karibu na bunge aliemaliza St john,kuonekana anaenda kazin,
Mwenye la zaidi atatujuza.
 
Alifanya interview? then sioni kosa hapo....sie tusie na godfather tukomae kivingine tu, ipo siku Mungu atatusaidia tu
 
Lini wabongo tutaacha kulalama jamani?Siasa zimeathiri fikra zetu kwa kiwango kikubwa sana.
 
Hat st John kuna wa2 nadhani wameshaanza kupiga mzigo kichinichin Kama vp kila chuo madudu kama hayo yapo!! So uclaumu sana 2endelee kumuomba Mungu aliye hai ipo cku.
 
UDOM wameanza sehemu ya academic staff na kwa wale waliofanya application saint John jamaa wamechukua watu waliofanya vyema palepale..kwa hiyo ile ya kutangaza inaweza ikawa geresha na wao wameanza kazi kama wiki tatu zilizopita...
 
Udom watu wameanza hasa wa IT(Non-teaching/Technical staff) wameanza.sasa wewe uliomba nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…