Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Nahisi serikali imechanganyikiwa na hilo jeshi lake
inachekesha kwel sasa kwann walim tu?
Hayo mambo gani tena kah
Kwa jinsi ilivyokaa system, itawahusu watu wote wanaosoma kozi zenye ajira ya moja kwa moja serikalini mfano education, afya n.k
Lakin pia ukiangalia kwa makini hiki kitakuja kuwa utaratibu kwa wahitimu wote wanaomaliza vyuo ambao hawajapitia haya mafunzo baada yakumaliza form six...
Hahhahaha ka nakuona vile... acha twende banah uzalendo kwanza lol!!!
Kwa kweli mimi pamoja kutofautiana na sera za huyu Sindbad wetu kwa hili la JKT amenikosha. Katika hili anahitaji kuungwa mkono na sote. Kilichobaki sasa ni kuurejesha ule utaratibu wa zamani ambapo JKT ilikuwa miaka 2; yaani miezi 3 Mafunzo ya awali, iliyobaki ni kufanya kazi kwa kujitolea; wewe utalipwa posho tu na mshahara unarudi serikalini kama shukrani kwa taifa lililokusomesha. Siyo siku hizi ambapo pamoja na kupewa mikopo kulipa ni kwa mbinde na mtu akishatajiwa kujitolea anasepa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
I WILL NEVER EVER DO THIS NONESENSE AND I PROMISED SINCE BEFORE.
Zaidi ya kuwafanya madada zetu kuwa mademu zao.
Nchi hii ina matatizo mengi sana of which we have to focus.
We have no technology and our resources are taken every day abroad.
Kwa mashariti yoyote sitakwenda JKT.
Ewaa.. iko DREAMBOY kwa mujibu wa serikali wanasema, "Mtu yeyote atakayekwepa kwenda jkt atashitakiwa kwa mujibu wa sheria so hakuna namna yakukwepa ndugu yangu. Issue imekaa kisheria sana