Tetesi :Walamba Asali kuandaa makongamano, maandamo ya makundi mbalimbali , ikiwemo ya kigeni Rasimi, ili mgeni Rasimi amchambe Dkt Bashiru

Tetesi :Walamba Asali kuandaa makongamano, maandamo ya makundi mbalimbali , ikiwemo ya kigeni Rasimi, ili mgeni Rasimi amchambe Dkt Bashiru

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Wakuu, Msiombe Mwanafamilia kusimama aseme Ukweli na kukemea maovu yanayoendelea ndani ya familia

Unaambiwa utaitwa Kila jina, mchawi wewe, huna shukran wewe, msaliti wewee n.k !!


Ndiyo hayo anayopitia Mh na Dkt Bashiru !!


Dkt Bashiru kaamua kutumia sauti yake kufikisha ujumbe wa wanyonge .

Sasa Walamba Asali ,wanahaha, ndio wanahaha kwakua alopiga Bomu ni Mwanafamilia, ndio wanahaha kwakua walishakubaliana kutufanya Watanzania sisi ni mbumbumbu.!!


Wanalamba Asali, wanataka wampe Ubalozi Moja ya Nchi Nono 🤣!!
 
CCM ni headless now.

Inaparamia kila kitu ikidhani itajiokoa. Wanaweza kumuamkia hata mtoto mdogp njiani wakidhani anaweza kuwanyofoa madarakani
 
Wakuu, Msiombe Mwanafamilia kusimama aseme Ukweli na kukemea maovu yanayoendelea ndani ya familia

Unaambiwa utaitwa Kila jina, mchawi wewe, huna shukran wewe, msaliti wewee n.k !!


Ndiyo hayo anayopitia Mh na Dkt Bashiru !!


Dkt Bashiru kaamua kutumia sauti yake kufikisha ujumbe wa wanyonge .

Sasa Walamba Asali ,wanahaha, ndio wanahaha kwakua alopiga Bomu ni Mwanafamilia, ndio wanahaha kwakua walishakubaliana kutufanya Watanzania sisi ni mbumbumbu.!!


Wanalamba Asali, wanataka wampe Ubalozi Moja ya Nchi Nono 🤣!!
carlos, kumbuka bashiru alifanya haya haya, muasisis, CEO wa atrocities zote alizozifanya Jiwe!
 
carlos, kumbuka bashiru alifanya haya haya, muasisis, CEO wa atrocities zote alizozifanya Jiwe!
Kwa hiyo mnakasirika kwa.yeye kupinganana legacy aliyoianzisha au ameongea uongo?

Maana mnaongea kama chiriku hamuhusishi akili
 
Ameweka pozi. Wakati wanajiandaa kumchafua wasisahau kikopo cha oil chafu kakishika yeye. Yaani watajikuta siku wanajiandaa kusema hili kisha dr analipua na ajenda yao inaharibika.
 
Back
Top Bottom