Tetesi:Wanafunzi UDOM wawachangia waliodhulika Arusha.

Tetesi:Wanafunzi UDOM wawachangia waliodhulika Arusha.

Vancomycin

Senior Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
171
Reaction score
112
Kuna taarifa zimesikika kuwa wanafunzi wa UDOM wamepitisha mchango kwa ajili ya watu waliokumbwa na madhara yalioletwa na polisi waliotumia nguvu kubwa kuzuia maandamano ya CHADEMA kule Arusha mwenye habari zisizo na shaka naomba atujuze.
 
Back
Top Bottom