V Vancomycin Senior Member Joined Jan 7, 2011 Posts 171 Reaction score 112 Jan 9, 2011 #1 Kuna taarifa zimesikika kuwa wanafunzi wa UDOM wamepitisha mchango kwa ajili ya watu waliokumbwa na madhara yalioletwa na polisi waliotumia nguvu kubwa kuzuia maandamano ya CHADEMA kule Arusha mwenye habari zisizo na shaka naomba atujuze.
Kuna taarifa zimesikika kuwa wanafunzi wa UDOM wamepitisha mchango kwa ajili ya watu waliokumbwa na madhara yalioletwa na polisi waliotumia nguvu kubwa kuzuia maandamano ya CHADEMA kule Arusha mwenye habari zisizo na shaka naomba atujuze.