TETESI: Wema A Sepetu amtosa Diamond

yeah, pepo wa ngono ni mbaya sana, hivi kwa Babu hakuna alternative ya kupoza hayo mapepo?? Maana namuonea huruma huyu msichana 'mdogo' ukichukulia familia anamotokea inaonekana haikutegemea kama aweza toke kiumbe mwenye tabia hii kwenye uzao wao!
usiombe upate pepo la ngono....
 
kweli (kwenye red) sio utani, inawezekana alipima HIV wakati anagombea umiss TZ na anaendelea kuamini majibu ya wakati huo hadi leo. Maskini, tusikae kulaumu na kucheka wanasiasa tu, na hawa pia ni vijana wa Kitanzania and they do reflect what we are!
Hamna haya ndo mambo ya kisasa!! wakikua wataacha tu.... offcourse kama wataweza kukua!!!
 
baadae utaskia chaz baba nae kapigwa chini,wema karudi kwa jumbe!! Amazing!
 
.....huyu dawa yake apate Mwanaume wa Kikurya tu, atanyoooka, i tell u
 
Watoto wa mujini hao!!! Kweli haya binti hana kabisa.
 
huyu mtoto dawa yake ni kumpiga mtungo
Kwann umfanyie hivyo?unachangia bajeti ya kwao ya ugali?unampa pesa za matumizi?umeshawahi kupoteza chochote kwa ajili yake?ww ni mmoja wa waathirika wa mambo yake?hebu jiulize dada ako hajawahi changanya wanaume?na yeye apigwe mtungo?
 
Huyu dada ananivutia ile mbaya,i hope she comes to me next
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…