Mvua Ya Kiangaz JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 308 Reaction score 144 May 25, 2011 #41 roselyne1 said: wema nitafute nikutafutie mabuzi! Click to expand... Wema nadhani ulizaliwa kwa ajili yangu,njoo nikupe mambo ya kisukuma tuone kama utaenda kwa mwingine, wewe ni mtoto mzuri tena una tabia njema,basi tu sisi midume ndo tunafanya uonekane hujatulia kwa kushindwa kukupatie kile unachohitaji,nitafute tuwafunge mdomo,tangu 2008 nilivyokusaidia kuziba pancha pale maisha klabu usiku wa manane akili yangu bado inakuwaza wewe sitaangalia na sita sikiliza ya wote walioku.....ni mimi nikupendae kwa dhati. DUME LA KINYANTUZU
roselyne1 said: wema nitafute nikutafutie mabuzi! Click to expand... Wema nadhani ulizaliwa kwa ajili yangu,njoo nikupe mambo ya kisukuma tuone kama utaenda kwa mwingine, wewe ni mtoto mzuri tena una tabia njema,basi tu sisi midume ndo tunafanya uonekane hujatulia kwa kushindwa kukupatie kile unachohitaji,nitafute tuwafunge mdomo,tangu 2008 nilivyokusaidia kuziba pancha pale maisha klabu usiku wa manane akili yangu bado inakuwaza wewe sitaangalia na sita sikiliza ya wote walioku.....ni mimi nikupendae kwa dhati. DUME LA KINYANTUZU
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 May 21, 2019 #42 Nomaaa