SAIDI MWINYIMVUA
Member
- Oct 19, 2022
- 62
- 59
Katika kipindi iki cha usajili kumekuwa na tetesi nyingi za Wachezaji kuhusishwa na hawa kulwa na doto ila la kustusha zaidi ni uyu miquissone kuhusishwa na hawa jamaa ukifuatilia tunavyosikia gharama anazolipwa uyu jamaa unaona kabisa hawezi kuja hapa TZ.
Mimi mwanayanga lialia lakini katika hili jambo naona tunaoteshwa mchana tukiwa tupo macho labda izo pesa anazolipwa huko alipo isiwe kama tunavyosikia kwa hali hiyo huenda akarudi TZ.
Mimi mwanayanga lialia lakini katika hili jambo naona tunaoteshwa mchana tukiwa tupo macho labda izo pesa anazolipwa huko alipo isiwe kama tunavyosikia kwa hali hiyo huenda akarudi TZ.