Anayemkataa alves hajui majukumu ya beki za pemben, Na nguvu Na kasi yake inaonesha kuna kama misimu miwil ya kukimbiza, bt hyo stering hatumuhitaj hana nafac kwetu, maana hata januzaj akienda liverpool benchi litakuwa linamuita hyo stering
2namuhtaj sana old trafford
Alves Mkuu,sterling Bdo Hana Nafas Katka Kikos Cha LVG
Yaani mtu anakuja na kufungua uzi kuwa Man utd wanamtaka Raheem Sterling, na anajiita shabiki wa kweli wa Man Utd!!!
Yaani mtu anakuja na kufungua uzi kuwa Man utd wanamtaka Raheem Sterling, na anajiita shabiki wa kweli wa Man Utd!!!
Yan kanishangaza sana aisee! Halaf huo uchambuz wake Kwa wachezaj hajui kabisa yan
wewe huwez kubishana kitu chochote na mim kuhusu soka
am at another level **** we
wewe huwez kubishana kitu chochote na mim kuhusu soka
am at another level **** we