Tetesi

Tetesi

Njaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2009
Posts
1,022
Reaction score
412
Nasikia BoT wanataka kuanzisha noti nyingine, tena ni noti ya shilingi elfu hamsini? Kama ni kweli hii ni dalili ya nini kwenye uchumi na dhamani ya sarafu yetu?? Msaada wajameni
 
Nasikia BoT wanataka kuanzisha noti nyingine, tena ni noti ya shilingi elfu hamsini? Kama ni kweli hii ni dalili ya nini kwenye uchumi na dhamani ya sarafu yetu?? Msaada wajameni

Nilipo bold sidhani kama ni kweli kwani mpaka sasa vielelezo kadhaa vya uchumi bado havionyeshi hitaji la noti ya sh. 50,000/=

Nawashauri BoT waendelee na mpango wao wa kuhakikisha Tanzania inaondokana na cash economy !! Mpaka leo Tanzania mtu anaweza kwenda showroom na kununua gari na cash taslimu Tsh. 150 million bila kuulizwa chochote.
 
Nilipo bold sidhani kama ni kweli kwani mpaka sasa vielelezo kadhaa vya uchumi bado havionyeshi hitaji la noti ya sh. 50,000/=

Nawashauri BoT waendelee na mpango wao wa kuhakikisha Tanzania inaondokana na cash economy !! Mpaka leo Tanzania mtu anaweza kwenda showroom na kununua gari na cash taslimu Tsh. 150 million bila kuulizwa chochote.
RED: Elimu kidooogo plz!!
 
Tutakuwa Zimbabwe soon!!ni mtazamo wangu tu
 
Back
Top Bottom