Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Vipi Mama amekusahau?Mkeka wa wakuu wa wilaya umetoka walioteuliwa wameonekana ambapo wengi ni watangazaji, wasanii, waigizaji na wengi ni vijana kweli.
Swali la msingi sio kuteuliwa bali ni je wamefanyiwa vetting kujua elimu yao, uwezo, tabia, mienendo, uzoefu, busara, hekima na makandondokando yao mengine na maana wengine tayari video zao za ufuska zimeanza kusambaa mitandaoni leo hii, sasa unajiuliza wamefanyiwa vetting kabla ya uteuzi? Au mradi liende?
Mama ana haki ya kuteua mtu yeyote yule lakini awe na sifa na uwezo wa kufanya kazi hiyo kitu ambacho kuna wengi hawana time will tell. Form Four failure kuwa mkuu wa wilaya kabisaaa?
Hii haina nafasi. Tangu uhuru tumekuwa na watu wenye elimu zao serikalini na ktk ngazi mbalimbali za uongozi matokeo yake nchi ni maskini mpk leo (miaka 60).kujua elimu yao,
Hakuna vetting process, Msando asingekuwa DC, wengi tu hawana sifa ya kukamata nafasi Ile kuu ya wilaya. But anyway aliyepata ndio keshapata.Mkeka wa wakuu wa wilaya umetoka walioteuliwa wameonekana ambapo wengi ni watangazaji, wasanii, waigizaji na wengi ni vijana kweli.
Swali la msingi sio kuteuliwa bali ni je wamefanyiwa vetting kujua elimu yao, uwezo, tabia, mienendo, uzoefu, busara, hekima na makandondokando yao mengine na maana wengine tayari video zao za ufuska zimeanza kusambaa mitandaoni leo hii, sasa unajiuliza wamefanyiwa vetting kabla ya uteuzi? Au mradi liende?
Mama ana haki ya kuteua mtu yeyote yule lakini awe na sifa na uwezo wa kufanya kazi hiyo kitu ambacho kuna wengi hawana time will tell. Form Four failure kuwa mkuu wa wilaya kabisaaa?