Teuzi za wastaafu hazina maslahi kwa taifa: Wateuliwa wanawekwa kulipa fadhila

Teuzi za wastaafu hazina maslahi kwa taifa: Wateuliwa wanawekwa kulipa fadhila

MGOGOHALISI

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
3,294
Reaction score
4,920
Ndio ukweli huo.

Katika taifa la watu milioni 60 bado nafasi chache na nyeti zinazohitaji akili iliyochangamka na energetic lakini bado anateuliwa mstaafu anayetakiwa kukaa na wajukuu nyumbani ale jasho la ujana wake.

Rais Samia amekua mlalamikaji sana hivi karibuni kuhusu utendaji wa watu walio chini yake. Napenda nimkumbushe kuwa teuzi za kulipana fadhila ndio matokeo hayo. Wakati mwingine mtu anapewa uteuzi ili akafichwe huko mbali. Sasa kama mlilenga kumficha lengo si limetimia? Unakujaje kutuambia tena hafanyi kazi,😄😄

Hizi teuzi za fadhila hazina faida kwa taifa. Ni kutekeleza ule usemi tule wote tu. Siku mkishindwana msije majukwaani kutulalamikia maana sisi wananchi hizo teuzi hazina manufaa kwetu.
 
Ndio ukweli huo.

Katika taifa la watu milioni 60 bado nafasi chache na nyeti zinazohitaji akili iliyochangamka na energetic lakini bado anateuliwa mstaafu anayetakiwa kukaa na wajukuu nyumbani ale jasho la ujana wake.

Rais Samia amekua mlalamikaji sana hivi karibuni kuhusu utendaji wa watu walio chini yake. Napenda nimkumbushe kuwa teuzi za kulipana fadhila ndio matokeo hayo. Wakati mwingine mtu anapewa uteuzi ili akafichwe huko mbali. Sasa kama mlilenga kumficha lengo si limetimia? Unakujaje kutuambia tena hafanyi kazi,😄😄

Hizi teuzi za fadhila hazina faida kwa taifa. Ni kutekeleza ule usemi tule wote tu. Siku mkishindwana msije majukwaani kutulalamikia maana sisi wananchi hizo teuzi hazina manufaa kwetu.
Vijana mliaminiwa na Jiwe mkachemka vibaya. Badala ya kuongoza mkatawala kwa fimbo ya chuma...

Vijana mkaanza kutukana na kuwabeza wazee.. Mkatesa raia, mkawafanya polisi kama manyampara wenu...

Mmoja aliwahi kuwaambia wabunge wasiingie kwenye mkoa wake bila kibali cha spika.... Na watu wa mkoa "wake" wasiingie mjini kama hawajaoga.... Akawaambia wafanyakazi wakibeba mabango ya kuomba kuongezwa mshahara angewacharaza bakora...

Hebu acheni wazee waendelee kula mema ya nchi kwa amani na utulivu...

Vijana mjiajiri wajameni... Si tumewasomesha bure lakini?
 
Taifa likiwa na viongozi wasio na maono, ni kama Lori lililofail brake likiwa juu ya mlima. Mungu ikumbuke tanganyika na kuitendea mema.
 
Ndio ukweli huo.

Katika taifa la watu milioni 60 bado nafasi chache na nyeti zinazohitaji akili iliyochangamka na energetic lakini bado anateuliwa mstaafu anayetakiwa kukaa na wajukuu nyumbani ale jasho la ujana wake.

tu. Siku mkishindwana msije majukwaani kutulalamikia maana sisi wananchi hizo teuzi hazina manufaa kwetu.
NDIO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA RAIS APUNGUZIWE TEUZI RAIS ANATEUA MPAKA DAS?
 
Back
Top Bottom