Teuzi zinaendelea, Wastaafu wanaendelea kulamba asali huku wahitimu wakiendelea kulia mabarabarani

Kwa elimu zao ni sawa tu kuendelea kuteuliwa.maana PhD zao walizipata kwenye vyuo vinavyotambua maana ya elimu na siyo vyuo vya jalalani
 
Kwa elimu zao ni sawa tu kuendelea kuteuliwa.maana PhD zao walizipata kwenye vyuo vinavyotambua maana ya elimu na siyo vyuo vya jalalani
Aisee kwa kweli wengine tuna madegree ya mavyuo vikubwa nchini still holaaa!!
 
Kwa elimu zao ni sawa tu kuendelea kuteuliwa.maana PhD zao walizipata kwenye vyuo vinavyotambua maana ya elimu na siyo vyuo vya jalalani
Aisee!
 
Naishi kwenye kauli ya boss wangu aliniambia siku moja

UKIPENDA SANA VYEO UTAKUWA MCHAWI ACHA VIJE VYENYEWE
 
Hao ni wataalam na sifa moja wapo ambayo imewabeba ni uzoefu kazini ,vijana wanatakiwa wasipande moja kwa moja katika nafasi za juu bali waende hatua kwa hatua vijana kwa walio wengi wakipewa nafasi za juu moja kwa moja wanazingua badala ya kujenga wanabomoa .
 
mkuu ulituka wahitimuwa wa sasa wa vyuo wapewe vyeo direct ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…