Aisee kwa kweli wengine tuna madegree ya mavyuo vikubwa nchini still holaaa!!Kwa elimu zao ni sawa tu kuendelea kuteuliwa.maana PhD zao walizipata kwenye vyuo vinavyotambua maana ya elimu na siyo vyuo vya jalalani
Mbona kinyonge sana mdau.Kazi iendelee
Kazi iendeleeMbona kinyonge sana mdau.
Au ulitegemea chochote matokeo yamekuwa tofauti?
Haya mambo ndo yalifanya baadhi ya nchi vijana kuingia road