TFF acheni kuingia mkenge kwa propaganda uchwara

Kauli ya TFF kuhusisha mechi na chanjo imepelekea watu wengi kutohudhuria pambano.

Wachache niliowahoji ni kwamba hawakuelewa, walidhani watachanjwa kwa lazima hivyo wakaamua kutokwenda.
Hahah hii kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…