Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Ni dhahiri ratiba ya kombe la ligi ilikuwa ikipangwa kutegemea matokeo ya mechi ya timu za Azam, Simba na Yanga. Sasa timu hizo zimeotolewa katika michuano hiyo. Kwa utaratibu wa TFF mshindi ndo anayeiwakilisha nchi katika mashindano ya CAF yajulikanayo kama Shirikisho, mwaka huu timu moja wapo ya hizi "JKT Ruvu, Mtibwa, Singida United na Stand United " itaiwakilisha nchi yetu na hii itakuwa kinyume na matarajio ya TFF, hivo ni bora wakutane kwa dharura kuibadilisha ili mshindi wa pili kwenye VPL, inaweza kuwa Azam, Simba au Yanga, atuwakilishe msimu huu. Mshindi wa kombe la ligi apewe aksante tu.