qaxemvule
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 231
- 120
Kwa nini michezo ya Simba SC vs Azam FC na Yanga SC vs Njombe Mji isichezeshwe siku moja? Wakati kila timu zinacheza mkoa tofauti na viwanja tofauti?
TFF wanapanga matokeo mapema, hata raundi ya pili bado
Simba SC vs Azam FC - 9th
Yanga SC vs Njombe Mji - 10th
TFF wanapanga matokeo mapema, hata raundi ya pili bado
Simba SC vs Azam FC - 9th
Yanga SC vs Njombe Mji - 10th