TFF, Bodi ya ligi kuu na chama cha waamuzi, mnayaona haya?

maiyanga1

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
1,340
Reaction score
1,832
Kwa kipindi cha karibuni, nimeshuhudia marefa wa kike waliochezesha mechi za ligi kuu wakizongwazongwa na wachezaji kwamba hawakubaliani na maamuzi yao. Hii imekaaje? Kwamba waamuzi wa kike hawatendi haki au ni uanamme ndio tatizo.

Mwamuzi ameshatoa adhabu lakini wachezaji wanamzonga hadi inashangaza.

TFF, bodi ya ligi na chama cha waamuzi mnachukua hatua gani?
 
Pamoja na utamaduni wa Kiafrika ila Bado Hawa waamuzi wa kike wanafanya ndivyo sivyo. Kosa la kadi hatoi kadi,lisilo la kadi anatoa kadi.
 
Pamoja na utamaduni wa Kiafrika ila Bado Hawa waamuzi wa kike wanafanya ndivyo sivyo. Kosa la kadi hatoi kadi,lisilo la kadi anatoa kadi.
Sipendi wazingwe Ila viwango vyao Tia maji Tia maji Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…