Tff, Emmanuel Amunike ampo serious,mmetuvua nguo watanzania

Tff, Emmanuel Amunike ampo serious,mmetuvua nguo watanzania

ngulyavyangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2019
Posts
203
Reaction score
266
Mimi Kama mdau wa soka ninaumia Sana kuona mambo yanavyoendeshwa shaghalabaghala na Tff.
Tff Kama wasimamizi wakuu wa Mpira wetu, nadiriki kusema wameshindwa kuusimamia badala ya kutupereka mbele wao wanaturudisha nyuma.. Mfano mzuri Angalia ratiba ya ligi kuu utaelewa nini namaanisha.

Wakati ligi yetu inaendelea sisi wadau soka tulishangazwa kutoonekana viwanjani kwa kocha wetu mkuu wa timu ya taifa.
Tulitegemaea hauzulie hata baadhi ya mechi ili kuweza kuona ni mchezaji yupi anastahili kuitwa timu ya taifa.
Hiko kitu hakijafanyika, amunike alikua kwao Nigeria anakula mshahara tu, Yaani yeye ni kocha wa mechi tu, baada ya mechi huyoooo kwao Nigeria.
Sasa Nani alikua anafanya uchaguzi wa wachezaji Wakati yeye Hayupo?
Jibu ni kwamba kocha amefanya kwa mazoea.
Kwa mtazamo wangu kwakua kocha ni mgeni hawajui wachezaji wetu vizuri alipaswa kuwepo viwanjani ili kung'amua mchezaji yupi anastahili badala ya kutumia watu.. Hii ingesaidia hata Wakati wa upangaji kikosi, ila kwakua hawajui vizuri Hawa wachezaji mwisho wake ndio anatuwekea akina sonso full back Wakati huyu ni central back, kifupi huwa anabahatisha tu.

Tukiangalia kikosi kinamapungufu mengi Sana, Kuna baadhi ya wachezaji hawakustahili kuitwa na kunabaadhi ya wachezaji walistahili kuitwa ila wameachwa.

Hawa apa wachezaji walio stahili kuitwa ila hawajaitwa:
1)Paul Godfrey,
Kwanini alistahili?
Kwasababu baada ya kuuumia kwa kapombe kwa sasa Paul Godfrey ndie beki bora wa upande wa kulia kwa sasa.
Huyu dogo anakila kitu, nguvu, speed, driballing, uwezo wa kupiga Chenga uwezo wa kuzuia washambuliaji hatari, zaidi ni kasi yake inayo msaidia kurudi kwa Wakati eneo analo stahili kuwepo.
Kikubwa upande wa full back ya kulia kocha kamuita mchezaji mmoja tu, Hassan kessy, ivo akivurunda au akiumia Hakuna mbadala wake.

2)Hassan dirunga
Kwanini alistahili?
Ukiangalia performance yake kwenye ligi, Utaona ni mchezaji ambae alistahili kuwepo, dirunga anakupa vitu vingi kwa Wakati mmoja ambavyo vinakurahisishia kupata matokeo. Kwanza ni mbunifu, mnyumbufu, zaidi anauwezo Mkubwa wa kupiga Pass za mwisho,

3)ibrahim ajibu.
Kwanini alistahili?
Ajibu ni kipaji cha pekee Sana.
Ni marachache Sana kupata mchezaji Kama ajibu.
Ndio ajibu ni mwepesi, si mzuri kwenye kukaba, ila iyo aindoi ubora wake na kuona hastahili,
Tuna Timu ambayo IPO imara kwenye defence, Tuna timu ambayo inawashambuliaji hatari, ila tumekosa walishaji, ajibu alikua ndio solution wa ilo tatizo,
Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga mipira iliyokufa, Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga pass za mwisho, mwisho ni mfungaji mzuri.
Inaitaji roho mbaya kumuacha ajibu Kulingana na Aina ya kikosi ambacho kocha amekiita na Aina ya mechi labda tunatafuta sare.
4)Abdalah shaibu
Kwanini alistahili?
Ndie back bora wa Kati kwa sasa, ndio roho ya yanga kwa sasa, Dante na yondani wanapumzishana ila ninja hawamgusi kwa sasa,
Yondani amechoka kidogo Hayupo sawa, ninja ndie huwa ana clear makosa yake,
Ivoivo kwa Dante baada ya kutoka kwenye majeraha hajawa sawa, ninja ndie anaesawazisha makosa yake,
Ninja mipira ya juu ndio yake, anatumia nguvu na akili,
Mwisho kwenye tackling utampenda, anamahesabu mazuri Sana kwenye tackling.
5)mohamed Hussein "tshabalala"
Kwanini alistahili? Hakuna mwenye Maswali juu ya ubora wake, pia kocha kamuita left back mmoja tu so inashangaza kumuacha zimbwe junior.
Abdi banda
Kwanini alistahili?
Labda ana matatizo na kocha ila ni mchezaji ambae alipaswa awepo.

Hawa hapa wachezaji ambao hawakustahili
1)ulimwengu
Hajawai kuwa msaada kwenye timu.
2)mandawa Hana msaada kwenye timu
3)mudathil yahaya
Toka amerudi Azam hajarudisha kiwango kile alichokakionesha akiwa singida united.
Muda unashindwa kumuweka kwenye kundi gani, kiungo mkabaji au mshambuliaji, Yaani huwa anazurura tu Uwanjani na kupiga square pass mbili ya tatu kupoteza. Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,yupo slow Sana.
4)kennedy Wilson
Singida inapumulia mipira na kitasa wao ni huyu Kennedy, inaitaji bang ya arusha ili uweze kumuamini.
5)shiza kichuya.
Huyu kabaki jina tu,

Mwisho timu ya taifa inajengwa na wachezaji bora.
Timu ya taifa inaundwa na wachezaji walio na uzoefu wa mashindano makubwa, timu ya taifa Sio sehemu ya kuwafanyia majaribio wachezaji, mchezaji anaeitwa anatakiwa awe amekamilika.
Ivo ndivo wanavyofanya Wenzetu,

1994956734883727421.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Kama mdau wa soka ninaumia Sana kuona mambo yanavyoendeshwa shaghalabaghala na Tff.
Tff Kama wasimamizi wakuu wa Mpira wetu, nadiriki kusema wameshindwa kuusimamia badala ya kutupereka mbele wao wanaturudisha nyuma.. Mfano mzuri Angalia ratiba ya ligi kuu utaelewa nini namaanisha.

Wakati ligi yetu inaendelea sisi wadau soka tulishangazwa kutoonekana viwanjani kwa kocha wetu mkuu wa timu ya taifa.
Tulitegemaea hauzulie hata baadhi ya mechi ili kuweza kuona ni mchezaji yupi anastahili kuitwa timu ya taifa.
Hiko kitu hakijafanyika, amunike alikua kwao Nigeria anakula mshahara tu, Yaani yeye ni kocha wa mechi tu, baada ya mechi huyoooo kwao Nigeria.
Sasa Nani alikua anafanya uchaguzi wa wachezaji Wakati yeye Hayupo?
Jibu ni kwamba kocha amefanya kwa mazoea.
Kwa mtazamo wangu kwakua kocha ni mgeni hawajui wachezaji wetu vizuri alipaswa kuwepo viwanjani ili kung'amua mchezaji yupi anastahili badala ya kutumia watu.. Hii ingesaidia hata Wakati wa upangaji kikosi, ila kwakua hawajui vizuri Hawa wachezaji mwisho wake ndio anatuwekea akina sonso full back Wakati huyu ni central back, kifupi huwa anabahatisha tu.

Tukiangalia kikosi kinamapungufu mengi Sana, Kuna baadhi ya wachezaji hawakustahili kuitwa na kunabaadhi ya wachezaji walistahili kuitwa ila wameachwa.

Hawa apa wachezaji walio stahili kuitwa ila hawajaitwa:
1)Paul Godfrey,
Kwanini alistahili?
Kwasababu baada ya kuuumia kwa kapombe kwa sasa Paul Godfrey ndie beki bora wa upande wa kulia kwa sasa.
Huyu dogo anakila kitu, nguvu, speed, driballing, uwezo wa kupiga Chenga uwezo wa kuzuia washambuliaji hatari, zaidi ni kasi yake inayo msaidia kurudi kwa Wakati eneo analo stahili kuwepo.
Kikubwa upande wa full back ya kulia kocha kamuita mchezaji mmoja tu, Hassan kessy, ivo akivurunda au akiumia Hakuna mbadala wake.

2)Hassan dirunga
Kwanini alistahili?
Ukiangalia performance yake kwenye ligi, Utaona ni mchezaji ambae alistahili kuwepo, dirunga anakupa vitu vingi kwa Wakati mmoja ambavyo vinakurahisishia kupata matokeo. Kwanza ni mbunifu, mnyumbufu, zaidi anauwezo Mkubwa wa kupiga Pass za mwisho,

3)ibrahim ajibu.
Kwanini alistahili?
Ajibu ni kipaji cha pekee Sana.
Ni marachache Sana kupata mchezaji Kama ajibu.
Ndio ajibu ni mwepesi, si mzuri kwenye kukaba, ila iyo aindoi ubora wake na kuona hastahili,
Tuna Timu ambayo IPO imara kwenye defence, Tuna timu ambayo inawashambuliaji hatari, ila tumekosa walishaji, ajibu alikua ndio solution wa ilo tatizo,
Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga mipira iliyokufa, Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga pass za mwisho, mwisho ni mfungaji mzuri.
Inaitaji roho mbaya kumuacha ajibu Kulingana na Aina ya kikosi ambacho kocha amekiita na Aina ya mechi labda tunatafuta sare.
4)Abdalah shaibu
Kwanini alistahili?
Ndie back bora wa Kati kwa sasa, ndio roho ya yanga kwa sasa, Dante na yondani wanapumzishana ila ninja hawamgusi kwa sasa,
Yondani amechoka kidogo Hayupo sawa, ninja ndie huwa ana clear makosa yake,
Ivoivo kwa Dante baada ya kutoka kwenye majeraha hajawa sawa, ninja ndie anaesawazisha makosa yake,
Ninja mipira ya juu ndio yake, anatumia nguvu na akili,
Mwisho kwenye tackling utampenda, anamahesabu mazuri Sana kwenye tackling.
5)mohamed Hussein "tshabalala"
Kwanini alistahili? Hakuna mwenye Maswali juu ya ubora wake, pia kocha kamuita left back mmoja tu so inashangaza kumuacha zimbwe junior.
Abdi banda
Kwanini alistahili?
Labda ana matatizo na kocha ila ni mchezaji ambae alipaswa awepo.

Hawa hapa wachezaji ambao hawakustahili
1)ulimwengu
Hajawai kuwa msaada kwenye timu.
2)mandawa Hana msaada kwenye timu
3)mudathil yahaya
Toka amerudi Azam hajarudisha kiwango kile alichokakionesha akiwa singida united.
Muda unashindwa kumuweka kwenye kundi gani, kiungo mkabaji au mshambuliaji, Yaani huwa anazurura tu Uwanjani na kupiga square pass mbili ya tatu kupoteza. Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,yupo slow Sana.
4)kennedy Wilson
Singida inapumulia mipira na kitasa wao ni huyu Kennedy, inaitaji bang ya arusha ili uweze kumuamini.
5)shiza kichuya.
Huyu kabaki jina tu,

Mwisho timu ya taifa inajengwa na wachezaji bora.
Timu ya taifa inaundwa na wachezaji walio na uzoefu wa mashindano makubwa, timu ya taifa Sio sehemu ya kuwafanyia majaribio wachezaji, mchezaji anaeitwa anatakiwa awe amekamilika.
Ivo ndivo wanavyofanya Wenzetu,

View attachment 1041051

Sent using Jamii Forums mobile app
NDIOMAAANAAA AKAITWAA YEYEE WAKAACHWA MABEGWE WA TZ
 
Tuacheni ujuaji kwa saana.
Kocha ni mmoja tu lakini wachezaji wa kitanzania ni zaidi ya mia moja ila wanatakiwa 11 tu ndani ya dimba,,, hivyo tuwape wachezaji wetu full support waweze kushinda.

Nakumbuka mechi ya kwanza tuliyocheza dhidi ya Lesotho pale Chamazi Complex, wachezaji karibu wote uliowataja mleta mada walikuwepo lakini tukaishia kupata DRAW.

Hivyo tutimize wajibu wetu sisi mashabiki wa kuishangilia Starz..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Kama mdau wa soka ninaumia Sana kuona mambo yanavyoendeshwa shaghalabaghala na Tff.
Tff Kama wasimamizi wakuu wa Mpira wetu, nadiriki kusema wameshindwa kuusimamia badala ya kutupereka mbele wao wanaturudisha nyuma.. Mfano mzuri Angalia ratiba ya ligi kuu utaelewa nini namaanisha.

Wakati ligi yetu inaendelea sisi wadau soka tulishangazwa kutoonekana viwanjani kwa kocha wetu mkuu wa timu ya taifa.
Tulitegemaea hauzulie hata baadhi ya mechi ili kuweza kuona ni mchezaji yupi anastahili kuitwa timu ya taifa.
Hiko kitu hakijafanyika, amunike alikua kwao Nigeria anakula mshahara tu, Yaani yeye ni kocha wa mechi tu, baada ya mechi huyoooo kwao Nigeria.
Sasa Nani alikua anafanya uchaguzi wa wachezaji Wakati yeye Hayupo?
Jibu ni kwamba kocha amefanya kwa mazoea.
Kwa mtazamo wangu kwakua kocha ni mgeni hawajui wachezaji wetu vizuri alipaswa kuwepo viwanjani ili kung'amua mchezaji yupi anastahili badala ya kutumia watu.. Hii ingesaidia hata Wakati wa upangaji kikosi, ila kwakua hawajui vizuri Hawa wachezaji mwisho wake ndio anatuwekea akina sonso full back Wakati huyu ni central back, kifupi huwa anabahatisha tu.

Tukiangalia kikosi kinamapungufu mengi Sana, Kuna baadhi ya wachezaji hawakustahili kuitwa na kunabaadhi ya wachezaji walistahili kuitwa ila wameachwa.

Hawa apa wachezaji walio stahili kuitwa ila hawajaitwa:
1)Paul Godfrey,
Kwanini alistahili?
Kwasababu baada ya kuuumia kwa kapombe kwa sasa Paul Godfrey ndie beki bora wa upande wa kulia kwa sasa.
Huyu dogo anakila kitu, nguvu, speed, driballing, uwezo wa kupiga Chenga uwezo wa kuzuia washambuliaji hatari, zaidi ni kasi yake inayo msaidia kurudi kwa Wakati eneo analo stahili kuwepo.
Kikubwa upande wa full back ya kulia kocha kamuita mchezaji mmoja tu, Hassan kessy, ivo akivurunda au akiumia Hakuna mbadala wake.

2)Hassan dirunga
Kwanini alistahili?
Ukiangalia performance yake kwenye ligi, Utaona ni mchezaji ambae alistahili kuwepo, dirunga anakupa vitu vingi kwa Wakati mmoja ambavyo vinakurahisishia kupata matokeo. Kwanza ni mbunifu, mnyumbufu, zaidi anauwezo Mkubwa wa kupiga Pass za mwisho,

3)ibrahim ajibu.
Kwanini alistahili?
Ajibu ni kipaji cha pekee Sana.
Ni marachache Sana kupata mchezaji Kama ajibu.
Ndio ajibu ni mwepesi, si mzuri kwenye kukaba, ila iyo aindoi ubora wake na kuona hastahili,
Tuna Timu ambayo IPO imara kwenye defence, Tuna timu ambayo inawashambuliaji hatari, ila tumekosa walishaji, ajibu alikua ndio solution wa ilo tatizo,
Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga mipira iliyokufa, Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga pass za mwisho, mwisho ni mfungaji mzuri.
Inaitaji roho mbaya kumuacha ajibu Kulingana na Aina ya kikosi ambacho kocha amekiita na Aina ya mechi labda tunatafuta sare.
4)Abdalah shaibu
Kwanini alistahili?
Ndie back bora wa Kati kwa sasa, ndio roho ya yanga kwa sasa, Dante na yondani wanapumzishana ila ninja hawamgusi kwa sasa,
Yondani amechoka kidogo Hayupo sawa, ninja ndie huwa ana clear makosa yake,
Ivoivo kwa Dante baada ya kutoka kwenye majeraha hajawa sawa, ninja ndie anaesawazisha makosa yake,
Ninja mipira ya juu ndio yake, anatumia nguvu na akili,
Mwisho kwenye tackling utampenda, anamahesabu mazuri Sana kwenye tackling.
5)mohamed Hussein "tshabalala"
Kwanini alistahili? Hakuna mwenye Maswali juu ya ubora wake, pia kocha kamuita left back mmoja tu so inashangaza kumuacha zimbwe junior.
Abdi banda
Kwanini alistahili?
Labda ana matatizo na kocha ila ni mchezaji ambae alipaswa awepo.

Hawa hapa wachezaji ambao hawakustahili
1)ulimwengu
Hajawai kuwa msaada kwenye timu.
2)mandawa Hana msaada kwenye timu
3)mudathil yahaya
Toka amerudi Azam hajarudisha kiwango kile alichokakionesha akiwa singida united.
Muda unashindwa kumuweka kwenye kundi gani, kiungo mkabaji au mshambuliaji, Yaani huwa anazurura tu Uwanjani na kupiga square pass mbili ya tatu kupoteza. Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,yupo slow Sana.
4)kennedy Wilson
Singida inapumulia mipira na kitasa wao ni huyu Kennedy, inaitaji bang ya arusha ili uweze kumuamini.
5)shiza kichuya.
Huyu kabaki jina tu,

Mwisho timu ya taifa inajengwa na wachezaji bora.
Timu ya taifa inaundwa na wachezaji walio na uzoefu wa mashindano makubwa, timu ya taifa Sio sehemu ya kuwafanyia majaribio wachezaji, mchezaji anaeitwa anatakiwa awe amekamilika.
Ivo ndivo wanavyofanya Wenzetu,

View attachment 1041051

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwa Muda WA AzAm huyo Mtoto mzuri sana Mkuu
 
Paul Godfrey mnampa sifa kubwa sana nyie wanaYanga, huyo Ajib ni Homa ya Vipindi hajawahi kuwa na mwendelezo wa kucheza soka la maaaana. Hivyo tumwamini Mwalimu tutavuka tu
 
Mimi Kama mdau wa soka ninaumia Sana kuona mambo yanavyoendeshwa shaghalabaghala na Tff.
Tff Kama wasimamizi wakuu wa Mpira wetu, nadiriki kusema wameshindwa kuusimamia badala ya kutupereka mbele wao wanaturudisha nyuma.. Mfano mzuri Angalia ratiba ya ligi kuu utaelewa nini namaanisha.

Wakati ligi yetu inaendelea sisi wadau soka tulishangazwa kutoonekana viwanjani kwa kocha wetu mkuu wa timu ya taifa.
Tulitegemaea hauzulie hata baadhi ya mechi ili kuweza kuona ni mchezaji yupi anastahili kuitwa timu ya taifa.
Hiko kitu hakijafanyika, amunike alikua kwao Nigeria anakula mshahara tu, Yaani yeye ni kocha wa mechi tu, baada ya mechi huyoooo kwao Nigeria.
Sasa Nani alikua anafanya uchaguzi wa wachezaji Wakati yeye Hayupo?
Jibu ni kwamba kocha amefanya kwa mazoea.
Kwa mtazamo wangu kwakua kocha ni mgeni hawajui wachezaji wetu vizuri alipaswa kuwepo viwanjani ili kung'amua mchezaji yupi anastahili badala ya kutumia watu.. Hii ingesaidia hata Wakati wa upangaji kikosi, ila kwakua hawajui vizuri Hawa wachezaji mwisho wake ndio anatuwekea akina sonso full back Wakati huyu ni central back, kifupi huwa anabahatisha tu.

Tukiangalia kikosi kinamapungufu mengi Sana, Kuna baadhi ya wachezaji hawakustahili kuitwa na kunabaadhi ya wachezaji walistahili kuitwa ila wameachwa.

Hawa apa wachezaji walio stahili kuitwa ila hawajaitwa:
1)Paul Godfrey,
Kwanini alistahili?
Kwasababu baada ya kuuumia kwa kapombe kwa sasa Paul Godfrey ndie beki bora wa upande wa kulia kwa sasa.
Huyu dogo anakila kitu, nguvu, speed, driballing, uwezo wa kupiga Chenga uwezo wa kuzuia washambuliaji hatari, zaidi ni kasi yake inayo msaidia kurudi kwa Wakati eneo analo stahili kuwepo.
Kikubwa upande wa full back ya kulia kocha kamuita mchezaji mmoja tu, Hassan kessy, ivo akivurunda au akiumia Hakuna mbadala wake.

2)Hassan dirunga
Kwanini alistahili?
Ukiangalia performance yake kwenye ligi, Utaona ni mchezaji ambae alistahili kuwepo, dirunga anakupa vitu vingi kwa Wakati mmoja ambavyo vinakurahisishia kupata matokeo. Kwanza ni mbunifu, mnyumbufu, zaidi anauwezo Mkubwa wa kupiga Pass za mwisho,

3)ibrahim ajibu.
Kwanini alistahili?
Ajibu ni kipaji cha pekee Sana.
Ni marachache Sana kupata mchezaji Kama ajibu.
Ndio ajibu ni mwepesi, si mzuri kwenye kukaba, ila iyo aindoi ubora wake na kuona hastahili,
Tuna Timu ambayo IPO imara kwenye defence, Tuna timu ambayo inawashambuliaji hatari, ila tumekosa walishaji, ajibu alikua ndio solution wa ilo tatizo,
Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga mipira iliyokufa, Ajibu anauwezo Mkubwa wa kupiga pass za mwisho, mwisho ni mfungaji mzuri.
Inaitaji roho mbaya kumuacha ajibu Kulingana na Aina ya kikosi ambacho kocha amekiita na Aina ya mechi labda tunatafuta sare.
4)Abdalah shaibu
Kwanini alistahili?
Ndie back bora wa Kati kwa sasa, ndio roho ya yanga kwa sasa, Dante na yondani wanapumzishana ila ninja hawamgusi kwa sasa,
Yondani amechoka kidogo Hayupo sawa, ninja ndie huwa ana clear makosa yake,
Ivoivo kwa Dante baada ya kutoka kwenye majeraha hajawa sawa, ninja ndie anaesawazisha makosa yake,
Ninja mipira ya juu ndio yake, anatumia nguvu na akili,
Mwisho kwenye tackling utampenda, anamahesabu mazuri Sana kwenye tackling.
5)mohamed Hussein "tshabalala"
Kwanini alistahili? Hakuna mwenye Maswali juu ya ubora wake, pia kocha kamuita left back mmoja tu so inashangaza kumuacha zimbwe junior.
Abdi banda
Kwanini alistahili?
Labda ana matatizo na kocha ila ni mchezaji ambae alipaswa awepo.

Hawa hapa wachezaji ambao hawakustahili
1)ulimwengu
Hajawai kuwa msaada kwenye timu.
2)mandawa Hana msaada kwenye timu
3)mudathil yahaya
Toka amerudi Azam hajarudisha kiwango kile alichokakionesha akiwa singida united.
Muda unashindwa kumuweka kwenye kundi gani, kiungo mkabaji au mshambuliaji, Yaani huwa anazurura tu Uwanjani na kupiga square pass mbili ya tatu kupoteza. Sio mzuri kwenye kukaba wala kushambulia,yupo slow Sana.
4)kennedy Wilson
Singida inapumulia mipira na kitasa wao ni huyu Kennedy, inaitaji bang ya arusha ili uweze kumuamini.
5)shiza kichuya.
Huyu kabaki jina tu,

Mwisho timu ya taifa inajengwa na wachezaji bora.
Timu ya taifa inaundwa na wachezaji walio na uzoefu wa mashindano makubwa, timu ya taifa Sio sehemu ya kuwafanyia majaribio wachezaji, mchezaji anaeitwa anatakiwa awe amekamilika.
Ivo ndivo wanavyofanya Wenzetu,

View attachment 1041051

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaaaah nashkru sana kwa uchambuzi wako, mawazo yako ka yangu.
Wengine wanaostaili yule dgo wa mwadui mwenye magoli 14 ingekua igizo zr sana, Eliudi Ambokile hawa hata kama hawatacheza ila walistaili kuwepo kwenye kikosi kwa ajili ya kupata uzoefu wa badae.
Pili kumwacha Ajibu sioni shida kwa Mimi kwa sababu moja Ajibu si mchezaji ambaye anakupa ubora wake msimu mzima. Angalia saizi ajibu aliyeanza na ubora mkubwa round ya kwanza si sawa na wa saizi. Na huu si msimu wake wa kwanza kua na hali hii sijui anatatizo gani?
Kama unamwangalia vzr Ajibu saizi kiwango chake kimeshuka ndo mana hata kocha wake hamuanzishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefanya analysis nzuri sana, mimi siyo mshabiki wa soka letu kiasi cha kujua viwango vya ubora wa wachezaji hao.

Lakini umeongea kitu muhimu sana kuhusu kocha kuishi Nigeria wakati ligi na mashindano mbalimbali yanaendelea.

Nilishangaa siku Simba anacheza na waarabu eti kocha hayupo, Simba vs Yanga, Simba vs Azam na mechi zingine zote za ligi ni muhimu kocha wa timu ya Taifa kuhudhuria.
 
  1. Ulimwengu! Sijui in nyota inambeba.. Utaona hata kwenye kikosi ataanza.. Kina Chilunda benchi.
 
Back
Top Bottom