Uamuzi wa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana kutaka kuandaa mahsindano ya AFCON kwa pamoja ni uamuzi mzuri sana ambao utasaidia kuendelea kuzitangaza nchi zetu siyo kimpira tu bali hata kiutalii. Tuwapongeze sana kwa ujasili huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.