CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
TFF Hamuiwezi Simba wala Yanga nchi hii,
Hapa yenyewe mnasubiri viingilio hivi mpige pesa!
Bila simba na Yanga nchi hii mtakufa njaa nyie..
Oneni mpaka viingilio mnapanga ninyi..
Yanga waligomea Twiga mwekundu,
Mwaka huu huu game iliahirishwa na mpaka leo Sio simba wala Yanga aliyewajibishwa zaidi "aibu" na lawama mlipata nyie..
Kama Simba Wamewagomea GSM-Yanga ,
Kukaa uwanjani kupitia mabango basi kubalini yaishe..
Toeni mabango game ipite kisha mrudi mezani Kwasasa Soka la Tanzania linatangazwa na simba huko nje ya Nchi...
Hivyo heshima yao wapewe...
Hapa yenyewe mnasubiri viingilio hivi mpige pesa!
Bila simba na Yanga nchi hii mtakufa njaa nyie..
Oneni mpaka viingilio mnapanga ninyi..
Yanga waligomea Twiga mwekundu,
Mwaka huu huu game iliahirishwa na mpaka leo Sio simba wala Yanga aliyewajibishwa zaidi "aibu" na lawama mlipata nyie..
Kama Simba Wamewagomea GSM-Yanga ,
Kukaa uwanjani kupitia mabango basi kubalini yaishe..
Toeni mabango game ipite kisha mrudi mezani Kwasasa Soka la Tanzania linatangazwa na simba huko nje ya Nchi...
Hivyo heshima yao wapewe...