Wewe unapost hapo umevaa bikini unataka kusema nini?Safari hii hakuna kunyenyekea timu ya mtu yeyote
Kama ninyi ni wanaume kweli msije uwanjani kesho saa 11
Nawaelewa mnavyotamani kuikimbia hii mechi ila ndio hakuna namna inabidi mje kesho uwanjaniWewe unapost hapo umevaa bikini unataka kusema nini?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hujui kitu kinachoendelea dada mkubwa. Paka wanja tu ukadange haya ya kiumeni tuachie wenyeweNawaelewa mnavyotamani kuikimbia hii mechi ila ndio hakuna namna inabidi mje kesho uwanjani
Njia pekee ya Simba kumkimbia GSM ni kucheza uchi.TFF Hamuiwezi Simba wala Yanga nchi hii,
Hapa yenyewe mnasubiri viingilio hivi mpige pesa!
Bila simba na Yanga nchi hii mtakufa njaa nyie..
Oneni mpaka viingilio mnapanga ninyi..
Yanga waligomea Twiga mwekundu,
Mwaka huu huu game iliahirishwa na mpaka leo Sio simba wala Yanga aliyewajibishwa zaidi "aibu" na lawama mlipata nyie..
Kama Simba Wamewagomea GSM-Yanga ,
Kukaa uwanjani kupitia mabango basi kubalini yaishe..
Toeni mabango game ipite kisha mrudi mezani Kwasasa Soka la Tanzania linatangazwa na simba huko nje ya Nchi...
Hivyo heshima yao wapewe...
Tutakuja kama Yanga atavaa Twiga mwekundu kwenye jezi yake ..........pale kwenye mkono wa kulia.... 😀Nawaelewa mnavyotamani kuikimbia hii mechi ila ndio hakuna namna inabidi mje kesho uwanjani
Hata hivyo sio kosa lako ila ni kosa la umalaya wa Mama yako kukuzaa nje ya ndoa na kuwa chokoHujui kitu kinachoendelea dada mkubwa. Paka wanja tu ukadange haya ya kiumeni tuachie wenyewe
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yaani simba mnabishana na serikaliTutakuja kama Yanga atavaa Twiga mwekundu kwenye jezi yake ..........pale kwenye mkono wa kulia.... 😀
Ndio......Yaani simba mnabishana na serikali
Haya matusi yamezidi utuo. Kama ulizaliwa na mama usipende kumtusi mama wa mwenzio.Hata hivyo sio kosa lako ila ni kosa la umalaya wa Mama yako kukuzaa nje ya ndoa na kuwa choko
Simba ndo timu ya nchi na serikali.Safari hii hakuna kunyenyekea timu ya mtu yeyote
Kama ninyi ni wanaume kweli msije uwanjani kesho saa 11
True say bruh! jamaa ana lugha za kuudhi sana, matusi kejeri inakua sio ushabiki ni chukiMwanangu SAGAI GALGANO nimekua nikikufuatilia kwa muda mwingi sana.
Una too personal attack kuliko collectively attack,Yaani wewe kumkejeli na kumtukana mtu kwako ni kitu cha kawaida,ubaya hauna lugha ya stara.
Scars ,NAWATAFUNA ,This is... Na wengineo hawa wote ni mashabiki wenzio wa Simba Lakini linapokuja suala la kwenye kujenga hoja at least wanakua na kauli za stara na ustaarabu.
OKW BOBAN SUNZU mwenyewe ambaye simba ni kama timu ya baba yake anakuaga na stara when it comes kwenye kujenga hoja.
Huu ni mpira tu mwanangu,wengi wetu ni kama enjoyment tu,ukiona kama hupendezwi na maoni ya mtu ni vema kupiga chini.