nimeona Azam walikuja Mbeya wakacheza na Mbeya city na prisons. Yanga wanaenda Shinyanga na kucheza mechi mbili mfululizo. mbona ratiba kama hii siioni kwa timu ndogo? sijawahi ona prions inaenda dar na kupiga mechi mfululzo.
nimeona Azam walikuja Mbeya wakacheza na Mbeya city na prisons. Yanga wanaenda Shinyanga na kucheza mechi mbili mfululizo. mbona ratiba kama hii siioni kwa timu ndogo? sijawahi ona prions inaenda dar na kupiga mechi mfululzo.