The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Wakati Jose Mournho anaenda EPL ilikuwa inajulikana sifa yake ya kuongea ovyo ..wakati Fulani walimpa jina la "the mouth"...Mourinho alikuwa anafanya "mind games".
Akiwashambulia marefa kabla ya mechi ili waogope kuzigusa timu zake wachezaji wake wakicheza faulo....walichofanya EPL ilikuwa kumpiga faini za hela mara Kwa mara.
Hadi alipoondoka EPL alikuwa "kanyooka" ilifikia wakati akiulizwa swali anajibu "sitaki kuwapa hela FA".......adhabu za kufungia watu mda mrefu ni adhabu za kishamba Sana na za kizamani na za kukomoana.
wapo watu Kama Haji Manara wanachotaka ni attention na kuongelewa kila mara ..hata uwape adhabu IPI watamtafutia loopholes na kukukera zaidi na matokeo yake TFf Kama taasisi itaanza kuchafuka kuonekana "Wana personal issues" na wahusika.
Dawa ni faini za hela na uwaache aendelee na kazi yake Kwa mujibu wa mkataba wake na muajiri wake...wewe ambae sie muajiri wake why ujaribu kumzuia mtu asifanye kazi yake...wote waliofungiwa wafunguliwe.
Wapewe adhabu za faini...na pesa ikatwe Kwa waajiri wao.... tuache ushamba WA kukomoana.
Akiwashambulia marefa kabla ya mechi ili waogope kuzigusa timu zake wachezaji wake wakicheza faulo....walichofanya EPL ilikuwa kumpiga faini za hela mara Kwa mara.
Hadi alipoondoka EPL alikuwa "kanyooka" ilifikia wakati akiulizwa swali anajibu "sitaki kuwapa hela FA".......adhabu za kufungia watu mda mrefu ni adhabu za kishamba Sana na za kizamani na za kukomoana.
wapo watu Kama Haji Manara wanachotaka ni attention na kuongelewa kila mara ..hata uwape adhabu IPI watamtafutia loopholes na kukukera zaidi na matokeo yake TFf Kama taasisi itaanza kuchafuka kuonekana "Wana personal issues" na wahusika.
Dawa ni faini za hela na uwaache aendelee na kazi yake Kwa mujibu wa mkataba wake na muajiri wake...wewe ambae sie muajiri wake why ujaribu kumzuia mtu asifanye kazi yake...wote waliofungiwa wafunguliwe.
Wapewe adhabu za faini...na pesa ikatwe Kwa waajiri wao.... tuache ushamba WA kukomoana.