TFF ianzishe semina ya sheria za mikataba kwa wachezaji kabla ya kuwapa leseni

TFF ianzishe semina ya sheria za mikataba kwa wachezaji kabla ya kuwapa leseni

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hizi sarakasi za wachezaji wazawa na mikataba hazitaisha.

TFF waanzishe semina kwa wachezaji wote wa ndani na wa nje wanaocheza hapa nchini kabla ya kuwapa leseni wapewe semina ya mikataba.

Kila msimu hii semina itolewe hata kwa siku mbili.

Maana wachezaji wengi hawana elimu ya darasani ni rahisi kurubuniwa au kufanya maamuzi mabaya yanayoaibisha soka letu

Mfano:
Feitoto
Kibu
Lawi
Kakolanya
Awesu

Hawa wote walileta ujinga mwingi ni aibu kwa soka letu

Nawasilisha.
 
Hizi sarakasi za wachezaji wazawa na mikataba hazitaisha.

TFF waanzishe semina kwa wachezaji wote wa ndani na wa nje wanaocheza hapa nchini kabla ya kuwapa leseni wapewe semina ya mikataba.

Kila msimu hii semina itolewe hata kwa siku mbili.

Maana wachezaji wengi hawana elimu ya darasani ni rahisi kurubuniwa au kufanya maamuzi mabaya yanayoaibisha soka letu

Mfano
Feitoto
Kibu
Lawi
Kakolanya
Awesu

Hawa wote walileta ujinga mwingi ni aibu kwa soka letu

Nawasilisha
Wazo lako ni zuri, lakini nadhani ni vizuri pia timu ziweke vipengele vigumu kwenye Mikataba.
 
Tatizo ni Hawa wasimamizi wao, wanafikori kazi yao ni pale mchezaji kuajiliwa na wao kupata commission.
 
Back
Top Bottom