TFF ijivunie kuwa na makocha kama Gamondi na Robertihno kwenye ligi yake.

TFF ijivunie kuwa na makocha kama Gamondi na Robertihno kwenye ligi yake.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Gamondi na Robertihno ni makocha wa kiwango kikubwa sana kuwepo kwenye ligi ya Tanzania. TFF lazima ione namna nzuri ya kuzipongeza Yanga na Simba kwa kuthubutu kuleta makocha ya viwango hivi, pia TFF na wadau wengine wa mpira waone ni kwa namna ipi wanaweza kuwatumia hawa makocha kwa manufaa ya timu zetu za taifa.

TFF inaweza kuwaalika kwenye kahawa jioni moja kila itakapohitajika ili kupata maoni yao juu ya timu zetu za taifa na mpira wetu kwa ujumla.

Nadhani huu ni muda kwa TFF kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye ligi ili timu zetu ziwe na wazawa wengi wanaofundishwa na makocha nguli kama hawa.


View: https://www.youtube.com/watch?v=caLs_AnKWow
 
Nadhani huu ni muda kwa TFF kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye ligi ili timu zetu ziwe na wazawa wengi wanaofundishwa na makocha nguli kama hawa.
 
Tanzania hatuna uwezo wa kuwa na MAKOCHA WAKUBWA tusidanganyane kabisa.

Hata Africa hao si MAKOCHA WAKUBWA.

Ukitaka kujua Hilo ANGALIA VILABU WALIVYO fundisha barani Africa.

Yani KOCHA anafundisha Uganda HAJAWAHI kucheza hata Nusu Fainali unasema ni KOCHA mkubwa.

POLE SANA KAKA.
 
Tanzania hatuna uwezo wa kuwa na MAKOCHA WAKUBWA tusidanganyane kabisa.

Hata Africa hao si MAKOCHA WAKUBWA.

Ukitaka kujua Hilo ANGALIA VILABU WALIVYO fundisha barani Africa.

Yani KOCHA anafundisha Uganda HAJAWAHI kucheza hata Nusu Fainali unasema ni KOCHA mkubwa.

POLE SANA KAKA.
Tunabalace story, hata hivyo kaifikisha Simba robo
 
Tuna Balance tu....

Kaifanya Simba iwe ndani ya Kumi bora Afrika....! Robertino

Gamondi huyo mna m balloon kwa kufosi...bado hajathibitisha chochote hadi muda huu...! Overrated
 
Gamondi na Robertihno ni makocha wa kiwango kikubwa sana kuwepo kwenye ligi ya Tanzania. TFF lazima ione namna nzuri ya kuzipongeza Yanga na Simba kwa kuthubutu kuleta makocha ya viwango hivi, pia TFF na wadau wengine wa mpira waone ni kwa namna ipi wanaweza kuwatumia hawa makocha kwa manufaa ya timu zetu za taifa.

TFF inaweza kuwaalika kwenye kahawa jioni moja kila itakapohitajika ili kupata maoni yao juu ya timu zetu za taifa na mpira wetu kwa ujumla.

Nadhani huu ni muda kwa TFF kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye ligi ili timu zetu ziwe na wazawa wengi wanaofundishwa na makocha nguli kama hawa.


View: https://www.youtube.com/watch?v=caLs_AnKWow

Wazo zuri
 
Back
Top Bottom