DIZZO MTAWALA
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 240
- 767
TIFUTIFU INAKWEPAJE LAWAMA KWA AIBU YA KITAYOSE
Watu wengi wamelazimishwa kuipa LAWAMA kitayose kwangu mimi tifutifu inatakiwa iwambwe kabisaa.
Kwanza kitengo cha biashara cha tifutifu kiliwezaje kuruhusu bidhaa yake ya Ligi kuu kupata aibu yaaani walijua lawama ni ya kitayose sio huku wakisahau kitayose ni asset kwenye bidhaa ya ligi kuu tena ligi ya 5 kwa ubora ilishindwaje kuziba ombwe la kitayose kwa kuwalipia ili kulinda bidhaa yake leo unafikiri aibu ni ya kitayose la hasha tifutifu na ligi kuu vimedhalilika sana.
Mbona wale wakubwa uto walipopigwa ban mliwalipia imeshindikanaje ama ndio tuseme timu 14 ni yatima
Hatujasahau mlipowaacha biashara utd wenyewe mpaka wakashindwa kusafiri kumalizia match hata baada ya kushinda 2 bila hapa nyumbani.
Kifupi tifutifu ni Baba anayeshindwa kumlea mwana anasubiri afanikiwe ndio ajitokeze na kujionesha ubaba dhaifu.
Nb: AIBU NI YA TIFUTIFU NA TAIFA KWA UJUMLA KITAYOSE NI KIWAKILISHI TU.
Watu wengi wamelazimishwa kuipa LAWAMA kitayose kwangu mimi tifutifu inatakiwa iwambwe kabisaa.
Kwanza kitengo cha biashara cha tifutifu kiliwezaje kuruhusu bidhaa yake ya Ligi kuu kupata aibu yaaani walijua lawama ni ya kitayose sio huku wakisahau kitayose ni asset kwenye bidhaa ya ligi kuu tena ligi ya 5 kwa ubora ilishindwaje kuziba ombwe la kitayose kwa kuwalipia ili kulinda bidhaa yake leo unafikiri aibu ni ya kitayose la hasha tifutifu na ligi kuu vimedhalilika sana.
Mbona wale wakubwa uto walipopigwa ban mliwalipia imeshindikanaje ama ndio tuseme timu 14 ni yatima
Hatujasahau mlipowaacha biashara utd wenyewe mpaka wakashindwa kusafiri kumalizia match hata baada ya kushinda 2 bila hapa nyumbani.
Kifupi tifutifu ni Baba anayeshindwa kumlea mwana anasubiri afanikiwe ndio ajitokeze na kujionesha ubaba dhaifu.
Nb: AIBU NI YA TIFUTIFU NA TAIFA KWA UJUMLA KITAYOSE NI KIWAKILISHI TU.