TFF inapokua shabiki wa Simba

TFF inapokua shabiki wa Simba

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Kulikua na ulazima gani kuleta hii Chat sasa hivi halafu mnaweka team chache namna ina maana team zingine hazisajili?
IMG_7970.jpeg
 
Kulikua na ulazima gani kuleta hii Chat sasa hivi halafu mnaweka team chache namna ina maana team zingine hazisajili? View attachment 2694201
Wengi wemeichukulia hii taarifa in negative way, lakini kufanya hivyo kwa TFF sio mbaya ikiwa ni kujaribu kuwakumbusha hasa viongozi wa timu mbalimbali kutojisahau kuingiza majina ya wachezaji wao wanaowasajili kwenye system.

Na kingine nahisi pengine Yanga wameamua kwanza ku clear kila kitu ndipo waingize majina ya wachezaji wao kwenye system, hili linaweza kuwa limetokana na usajili wa msimu uliopita walikuwa wanaangaika kulifuta jina la mchezaji baada ya kuishaliweka kwenye mfumo.
 
Sasa hapa mada yako inahusiana nini na Simba...hebu kuweni na akili jamani..mnatuchocha...
 
Nyie ndo mnafanya tunakuwa utopolo kweli, lengo hapo ni kukumbusha tu, which is not a bad thing at all.
 
Ama kweli UJINGA ni kipaji.

Hayo ni majina ya Wachezaji wanaosajiliwa Ili TFF ITUME taarifa za hivyo VILABU CAF.

HOVYO ni VILABU vinavyoshoriki mashindano ya CUF.
CAFCL.
CAFCC.

1. SIMBA.
2. YANGA.
3. AZAM.
4. SINGIDA FOUNTAIN GATE.

Bora UULIZE kuliko kuonyesha UJINGA WAKO HAPA.
YANGA WALIKUWA wamefungiwa KUSAJILI ndio maana hawakutuma jina hata Moja.

FICHA UJINGA KABWILI FC.
 
Ama kweli UJINGA ni kipaji.

Hayo ni majina ya Wachezaji wanaosajiliwa Ili TFF ITUME taarifa za hivyo VILABU CAF.

HOVYO ni VILABU vinavyoshoriki mashindano ya CUF.
CAFCL.
CAFCC.

1. SIMBA.
2. YANGA.
3. AZAM.
4. SINGIDA FOUNTAIN GATE.

Bora UULIZE kuliko kuonyesha UJINGA WAKO HAPA.
YANGA WALIKUWA wamefungiwa KUSAJILI ndio maana hawakutuma jina hata Moja.

FICHA UJINGA KABWILI FC.

Wewe unamwambia mwenzio afiche ujinga na wakati nawewe umeonesha haujui kitu. Kama Yanga wanvekuwa hawaruhusiwi kusajili, basi wachezaji wa zamani ungewaona hapo. Kwahiyo kwa akili yako kama timu ikifungiwa kusajili basi haitakiwi kuwa na mchezaji hata mmoja hata kama ni wa zamani?

Hiyo unayoona hapo ni mfumo wa wakusajili wachezaji kwa njia ya mtandao ambapo kunakuwa na link kati ya TFF na CAF, hivyo Yanga bado hawawaingiza bado kwenye mfumo wachezaji wao, huku Azam wakiwa wameshaingiza wachezaji saba. Simba msimu huu hawakusajili wachezaji 24 mbona hukujiuliza ni vipi wamefika 24? Ni kwamba katika wachezaji watakaotumika na Simba mashindano ya CAF tayari wameshaingiza wachezaji 24. Yanga wangekuwa wamefungiwa wangekuwa wameingiza wachezaji wa zamani na kusingekuwa na sifuri hapo kama ndipo akili yako ndivyo ilikuwa inawaza kuhusu kufungiwa.
 
Wewe unamwambia mwenzio afiche ujinga na wakati nawewe umeonesha haujui kitu. Kama Yanga wanvekuwa hawaruhusiwi kusajili, basi wachezaji wa zamani ungewaona hapo. Kwahiyo kwa akili yako kama timu ikifungiwa kusajili basi haitakiwi kuwa na mchezaji hata mmoja hata kama ni wa zamani?

Hiyo unayoona hapo ni mfumo wa wakusajili wachezaji kwa njia ya mtandao ambapo kunakuwa na link kati ya TFF na CAF, hivyo Yanga bado hawawaingiza bado kwenye mfumo wachezaji wao, huku Azam wakiwa wameshaingiza wachezaji saba. Simba msimu huu hawakusajili wachezaji 24 mbona hukujiuliza ni vipi wamefika 24? Ni kwamba katika wachezaji watakaotumika na Simba mashindano ya CAF tayari wameshaingiza wachezaji 24. Yanga wangekuwa wamefungiwa wangekuwa wameingiza wachezaji wa zamani na kusingekuwa na sifuri hapo kama ndipo akili yako ndivyo ilikuwa inawaza kuhusu kufungiwa.
Huyo kolowizard umempa jibu analostahili.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hana Hoja Huo Ndiyo Ukweli Zaidi Apuuzwe Kulinda Heshma, Hadhi Ya JF
 
Roho zinawauma sana, na bado dawa itawaingia makolo
 
Back
Top Bottom