TFF inashindwa nini?

Alexism

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
3,423
Reaction score
2,046
Katika kukuza na kuendeleza nyanja ya mpira wa miguu nchini nipamoja na kuonesha mchezo huo katika vyombo vya habari asa runinga za kimataifa na zakitaifa.
Inakuwaje hapa Tanzania TFF inashindwa ata kurusha mechi kupitia runinga za ndani au za nje.Ukienda Uganda au Kenya mechi nyingi za rigi kuu zinarushwa na ata kupitia Dstv.Je TFF hamuoni kuwa na sisi Tz ni muda sahihi kufanya hivyo?Kama hamuwezi,je mmejaribu na mkashindwa?
 
Mkuu ndiyo sababu vilabu vinalilia uanzishwaji wa kampuni kwa ajili ya kusimamia ligi.
 
wizara zinafanya kazi bila uhuru. Tofauti na tume. Tatizo tunaangalia tunapoangukiaga. Tume itatuonyesha tunapojikwaa.Kama tatizo ni njia tunayopita,mwondoko wetu,n.k.
 
Mkuu ndiyo sababu vilabu vinalilia uanzishwaji wa kampuni kwa ajili ya kusimamia ligi.
Sidhani kama hawa jamaa wa vilabu wamejiandaa kuunda hiyo kampuni,nina wasiwasi huenda hiyo kampuni nayo ikazidi kuleta matatizo
 
Kampuni sawa lakini Uganda(FUFA) na Zambia bado wanaendesha mambo mpira kwa kutumia shirikisho na zinaendeleza mpira huko tofauti na Tanzania yenu.
 
wanataka mapato ya SIMBA na YEBO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…