Wadau naomba nijielekeze kwenye mada tajwa.
Wengi tunajua mechi za Simba na Yanga huwa ni tukio la kitaifa kama sio kimataifa na hugusa watu wengi,bahati mbaya naona Kuna kikundi kichache daima kinatumia mgongo wa Simba na Yanga kufanya wizi wa mapato.
Kuelewa hili kwanza tutazame taarifa rasmi ya TFF kuhusu mapato na migawanywa
Sasa tutazame wizi ambao umefanyika hapo.
Wizi wa kwanza hapa umefanywa na serikali,wizi kwa kua serikali imechukua fedha mara 3
1. VAT 62,640,762
2. BMT 10,440,127
3. Uwanja 47,246,795
Jumla Tshs120,427,684 hizi za Serikali. Klabu hapo imegawana nusu ya mapato ya ilichopata na serikali.
Wizi wa pili,huu umefanywa na TFF kwa kuchukua fedha za klabu mara 4
1. TFF 12,599,145
2. Bodi 25,198,290
3. DRFA 18,898,718
4.G/Mchezo 22,048,504
Jumla Tshs78,744,657 hizi za TFF
Tickets ukinunua unalipa VAT, N-card ukinunua unalipia VAT,makusanyo yanakatwa VAT 18%
Kama kila shabiki alienunua tiketi amekatwa VAT,hizi gharama nyingine za VAT za nini?!! Sio double taxation?!! Sio wizi?!!
Simba na Yanga zinatumia gharama kubwa sana kuendesha timu,fedha zinaibwa kijanja na wahuni wachache.
Wengi tunajua mechi za Simba na Yanga huwa ni tukio la kitaifa kama sio kimataifa na hugusa watu wengi,bahati mbaya naona Kuna kikundi kichache daima kinatumia mgongo wa Simba na Yanga kufanya wizi wa mapato.
Kuelewa hili kwanza tutazame taarifa rasmi ya TFF kuhusu mapato na migawanywa
Sasa tutazame wizi ambao umefanyika hapo.
Wizi wa kwanza hapa umefanywa na serikali,wizi kwa kua serikali imechukua fedha mara 3
1. VAT 62,640,762
2. BMT 10,440,127
3. Uwanja 47,246,795
Jumla Tshs120,427,684 hizi za Serikali. Klabu hapo imegawana nusu ya mapato ya ilichopata na serikali.
Wizi wa pili,huu umefanywa na TFF kwa kuchukua fedha za klabu mara 4
1. TFF 12,599,145
2. Bodi 25,198,290
3. DRFA 18,898,718
4.G/Mchezo 22,048,504
Jumla Tshs78,744,657 hizi za TFF
Tickets ukinunua unalipa VAT, N-card ukinunua unalipia VAT,makusanyo yanakatwa VAT 18%
Kama kila shabiki alienunua tiketi amekatwa VAT,hizi gharama nyingine za VAT za nini?!! Sio double taxation?!! Sio wizi?!!
Simba na Yanga zinatumia gharama kubwa sana kuendesha timu,fedha zinaibwa kijanja na wahuni wachache.