Kwa nini Kagoma hana haki ya kucheza Yanga ikiwa anamkataba na Yanga ?. Na je unaufahamu kuwa Kagoma analeseni ya kucheza Simba. Kagoma kawaigiza Cha kike Yanga narudi Tena Simba hausiki hapo.Nani kasema TFF walitoa idhini? Na je tutajuaje walitoa idhini baada ya kufanyiwa udanganyifu!
Ana haki na mkataba wa kucheza Yanga kama ambavyo amechagua kwenda Simba kwa sababu ya maslahi.Simba anahusika kwa kumchezesha mchezaji ambaye ana mkataba na Yanga.Anastahili adhabu kali iwe funzo kwa wengine.Kwa nini Kagoma hana haki ya kucheza Yanga ikiwa anamkataba na Yanga ?. Na je unaufahamu kuwa Kagoma analeseni ya kucheza Simba. Kagoma kawaigiza Cha kike Yanga narudi Tena Simba hausiki hapo.
Na anaona amekuja na hoja nzito kweli Yani...haha...Uwezo wako wa kufikiri ni mfupi sana 🤣🤣🤣
Duka na usajili wa mchezaji mbona na vitu viwili tofauti we 🐸
Ana haki na mkataba wa kucheza Yanga kama ambavyo amechagua kwenda Simba kwa sababu ya maslahi.Simba anahusika kwa kumchezesha mchezaji ambaye ana mkataba na Yanga.Anastahili adhabu kali iwe funzo kwa wengine.
Ufafanuzi mkataba wa kwanza alisaini yanga kwa miaka 3, mkataba haujavunjwaHapo nilipobold quote nimecheka sana. So kagoma ni Mali ya singida kumbe sio utopolo kama mwansheria wakupoteza kila kesi anavodai
Unasajili vipi na umefungiwa kusajili? Mnafaa kushushwa daraja mkacheze ndondo akili iwakae sawa, na j2 anakiwasha libya kama kawaUfafanuzi mkataba wa kwanza alisaini yanga kwa miaka 3, mkataba haujavunjwa
Hii ni case, (mapingamizi), baada ya ufukunyuki, kabla ya kufunga usajiliUnasajili vipi na umefungiwa kusajili? Mnafaa kushushwa daraja mkacheze ndondo akili iwakae sawa, na j2 anakiwasha libya kama kawa
Mmeambiwa mpeleke risiti baada ya malipo benkiUnasajili vipi na umefungiwa kusajili? Mnafaa kushushwa daraja mkacheze ndondo akili iwakae sawa, na j2 anakiwasha libya kama kawa
Baada ya Timu Yanga kuthibitisha pasi na shaka, Tena kwa kutoa vithibitisho vya mikataba halali vinavyothibitisha kwamba mchezaji Yusuph kagoma, ambaye ni mali ya SFG kuingia mkataba na Yanga, Kisha mchezaji huyo kutumika katika michezo miwili ya Simba, ...
Wewe utopolo TFF kupitia kamati zake huwa wanathibitisha uhalali wa mchezaji kwa timu husika.Baada ya Timu Yanga kuthibitisha pasi na shaka, Tena kwa kutoa vithibitisho vya mikataba halali vinavyothibitisha kwamba mchezaji Yusuph kagoma, ambaye ni mali ya SFG kuingia mkataba na Yanga, Kisha mchezaji huyo kutumika katika michezo miwili ya Simba, mmoja dhidi ya Tabora utd na mwingine dhidi ya SFG, Basi ni wazi, kwa makusudi na kwakujua, Simba sc ilimchezesha mchezaji ambaye walijua fika kuwa si mali yao! Jambo ambalo linatia doa na kuharibu kabisa taswira ya Ligi yetu ambayo tunapambana kuisogeza nafasi za juu Afrika.
Tabia hii mbaya kabisa inapaswa kukemewa na kukataliwa kabisa kwa kuchukua hatua kali kwa wahusika wote, Ili iwe funzo kwa wachezaji na vilabu vingine hapa nchini.
Soma Pia: Mwanasheria wa Yanga: Mchezaji Yusuph Kagoma alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga
Yanga haijawahi kumsajiri Kagoma, ila wametapeliwa na Kagoma. Mwenye kustahili adhabu hapo ni Kagoma na Singida Black Star, siyo Simba.Baada ya Timu Yanga kuthibitisha pasi na shaka, Tena kwa kutoa vithibitisho vya mikataba halali vinavyothibitisha kwamba mchezaji Yusuph kagoma, ambaye ni mali ya SFG kuingia mkataba na Yanga, Kisha mchezaji huyo kutumika katika michezo miwili ya Simba, mmoja dhidi ya Tabora utd na mwingine dhidi ya SFG, Basi ni wazi, kwa makusudi na kwakujua, Simba sc ilimchezesha mchezaji ambaye walijua fika kuwa si mali yao! Jambo ambalo linatia doa na kuharibu kabisa taswira ya Ligi yetu ambayo tunapambana kuisogeza nafasi za juu Afrika.
Tabia hii mbaya kabisa inapaswa kukemewa na kukataliwa kabisa kwa kuchukua hatua kali kwa wahusika wote, Ili iwe funzo kwa wachezaji na vilabu vingine hapa nchini.
Soma Pia: Mwanasheria wa Yanga: Mchezaji Yusuph Kagoma alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga
Dah. Kumbe ukifungiwa usajili unasajili unaweka stoo?Hiyo no hoja nyepesi na ya kitoto sana. Kwa hiyo ukifungiwa duka na TRA kisa hujalipa kodi, hauruhusiwi kuendelea kununua bidhaa na kuhifadhi store ili siku ukilipa kodi na kufungua duka uingize dukani?
Sawa mchukue ni kagoma na point sita zote tukatwe na TFF😂😂Uwezo wako wa kufikiri ni mfupi sana 🤣🤣🤣
Duka na usajili wa mchezaji mbona na vitu viwili tofauti we 🐸
Huyu mwanasheria kanjanja kweli kweli anawaingiza mkenge Yanga kwa mara nyingine tena.Baada ya Timu Yanga kuthibitisha pasi na shaka, Tena kwa kutoa vithibitisho vya mikataba halali vinavyothibitisha kwamba mchezaji Yusuph kagoma, ambaye ni mali ya SFG kuingia mkataba na Yanga, Kisha mchezaji huyo kutumika katika michezo miwili ya Simba, mmoja dhidi ya Tabora utd na mwingine dhidi ya SFG, Basi ni wazi, kwa makusudi na kwakujua, Simba sc ilimchezesha mchezaji ambaye walijua fika kuwa si mali yao! Jambo ambalo linatia doa na kuharibu kabisa taswira ya Ligi yetu ambayo tunapambana kuisogeza nafasi za juu Afrika.
Tabia hii mbaya kabisa inapaswa kukemewa na kukataliwa kabisa kwa kuchukua hatua kali kwa wahusika wote, Ili iwe funzo kwa wachezaji na vilabu vingine hapa nchini.
Soma Pia: Mwanasheria wa Yanga: Mchezaji Yusuph Kagoma alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga
Halafu kila kesi huwa anaangukia pua hajawi kushinda kesi. Bado wanae tu 🤣🤣🤣Huyu mwanasheria kanjanja kweli kweli anawaingiza mkenge Yanga kwa mara nyingine tena.
Sasa hilo swali wa kuulizwa ni Yanga au mhusika?? Alama 6 zinapaswa kukatwa kwa timu iliyomchezesha mchezaji ambaye ni mali ya timu nyingineSasa kama mlimsajiri kwa taratibu zote.
Mbona hajaripoti kambini kufanya majukumu yake ?
Hivi ukioa mwanamke si inakupasa umlete nyumbani kwako ?
Kagoma yuko Libya nendeni mkamchukue.
Yaani mnamnunua mchezaji kimya kimya halafu mnaanza kulalamika mitaani.
Kasoro ni yenu