popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 372
Kichwa cha habari chajitosheleza hapa naomba kuzimza na kamati ya Ushindi wa Stars ikiongozwa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda, binafsi nimehamasika saana na ushawishi unaofanywa na kamati lkn tatizo linakuwaga kiingilio wanavyoweka hao TFF hawajali, mm siendagi uwanjani hata kama ikiwa simba na Yanga.
Lakini hii mechi imenipa mwamko sana nakuona kama inawezekana kuweka history.
Sasa waambieni hao TFF kitaani kuna wana wengi sana ambao kama kiingilio kikiwa chini tutajaa na kushangilia saana mpaka waganda wapagawe na ikumbukwe pale Taifa washangiliaji wengi ni wale akina sisi tunaokaa kwenye mzunguko juu huko na wala sio VIP.
Tafadhar tutendeeni m3ma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hii mechi imenipa mwamko sana nakuona kama inawezekana kuweka history.
Sasa waambieni hao TFF kitaani kuna wana wengi sana ambao kama kiingilio kikiwa chini tutajaa na kushangilia saana mpaka waganda wapagawe na ikumbukwe pale Taifa washangiliaji wengi ni wale akina sisi tunaokaa kwenye mzunguko juu huko na wala sio VIP.
Tafadhar tutendeeni m3ma.
Sent using Jamii Forums mobile app