Amezingua sana leo pamoja na wale wasichana wenzake. Itatokea siku watu watakosa uvumilivu, na hivyo kuishia tu kuwatandika ngumi.Hiki anachokifanya hapa Tabora kimesababisha nitoke nje kabisa ya uwanja. Siwezi kuendelea kuangalia Mechi inayochezwshwa kama Chandimu. Goli la Kwanza la JKT limetokana na double offside, lakini halitoshi build up imeanzia na foul dhidi ya mchezaji wa Tabora United na refa yuko Mita 4 toka kwenye tukio. Refa anafanya makusudi kuwaondoa Tabora mchezoni.
Kama ni lazima Tatu atumike kwenye soka basi mtafutieni kazini nyingine ofisini.
Ngoja tuone Kamati ya waamuzi itasemaje au tutaambiwa tunabagua wanawake?
Pole kwa Tabora
Wana mechi na timu inayotoka championship labda wakajitetee hukoKamati haitabadilisha matokeo, hiyo imeenda Tabora United haooo ndondo cup!
TTF hawana waamuzi wenye weledi inawezekana tatizo liko kwa walimu ambapo hakuna monitoring and evaluation yaani hakuna muendelezo baada ya mafunzoHiki anachokifanya hapa Tabora kimesababisha nitoke nje kabisa ya uwanja. Siwezi kuendelea kuangalia Mechi inayochezwshwa kama Chandimu. Goli la Kwanza la JKT limetokana na double offside, lakini halitoshi build up imeanzia na foul dhidi ya mchezaji wa Tabora United na refa yuko Mita 4 toka kwenye tukio. Refa anafanya makusudi kuwaondoa Tabora mchezoni.
Kama ni lazima Tatu atumike kwenye soka basi mtafutieni kazini nyingine ofisini.
HiihiiYa nchi hii?