GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mpeni Timu ya Taifa Jamhuri Kihwelo na Fred Minziro na hakikisheni kuna ' motisha ' ya kutosha Taifa Stars tutashiriki AFCON na hata Kombe la Dunia bila matatizo wala shida yoyote. Nimemchunguza kwa muda mfupi huyu Kocha Amunike hatotufaa kwani ni ' mbaguzi ' na anaongozwa na ' chuki ' kwa Wachezaji.
Nawasilisha.
Nawasilisha.