TFF:Kocha mkuu na benchi la ufundi lazima sare

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
TFF imesema kocha yoyote na benchi la ufundi lazima wavae sare ya timu halisi siyo kujivalia nguo zisizoeleweka. Aidha kama siyo sare basi nguo za heshima
Mbali na hivo hatua za kinidhamu zitachukuliwa.
 
Hapo kwenye Mavazi ya Heshima ndio kunapochanganya, hivi mavazi ya heshima ndio yapi?

Maana sisi wamasai vazi la heshima ni shuka bila kufuri aka pichu (ashaikum si matusi)
 
Mdhamini ni vodacom lakini mashrti mwakani ligi kuu kuwe na timu 16,na TFF wametangaza jana mwakani timu 4 za mwisho zitashuka automatic na za mwisho zinazobaki mkiani zitacheza play off
Hao Tff wahuni si tunataka kumjua mdhamini mkuu wa ligi sio. Haya mambo ya sare itusaidie nn sisi
 
Mkuu lakini kwa akili ya kawaida locha utavaaje brand ta fly Emirates kwenye club unayofundisha inayodhaminiwa na sumsung?
Waseme hivyo. Lakini hilo ni lake na Yanga sio tifuatifua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…